Residents of West Berlin show their children to their grandparents living in East Berlin, 1961

Residents of West Berlin show their children to their grandparents living in East Berlin, 1961

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
1637313781740.png

Miaka ya 60, mapambano ya Vita Baridi barani Ulaya yalishaniri. Ujerumani iligawanyika, eneo la Mashariki waliungana na Urusi katika siasa za Ujamaa wakati eneo la Magharibi liliendelea na siasa za Ulaya Magharibi za Kibrpari.

Katika kuzuia watu wasipate ushawishi wa Kibepari, Ujerumani Mashariki ilijenga ukuta usiku wa manane, asubuhi watu waliamka katika mshangao unaoonekana pichani. Fikiria unalala usiku na unapoamka asubuhi familia yako mtaa wa pili wanaishi nchi nyingine.

Maisha ndani ya Ujerumani Mashariki hayakutofautiana sana na maisha ya Urusi. Bidhaa muhimu zilikua was kwa ration na watu walipanga foleni. Haki hii iliendelea mpaka ukuta wa Berlin ulipovunjwa.
 
the berlin wall, a sad symbol the cold war years
 
Tunataka ukuta wa machame na kibosho uvunjwe pia..mi nimempenda mmachame lakini wazazi pande zote wamesema ukitangaza harusi tuu laana zitushukie wote..
Imebid tuishi tuu kibishi lakini kwa masharti kwmba mimi nisiende kwetu wala mwanmke asiende kwao..tatizo lolote wao hawahusiki na wameuvua undugu.naishi maisha magumu sana
 
Tunataka "ukuta" wa Muungano nao uvunjwe ili tuwe na nchi moja.
 
Tunataka ukuta wa machame na kibosho uvunjwe pia..mi nimempenda mmachame lakini wazazi pande zote wamesema ukitangaza harusi tuu laana zitushukie wote..
Imebid tuishi tuu kibishi lakini kwa masharti kwmba mimi nisiende kwetu wala mwanmke asiende kwao..tatizo lolote wao hawahusiki na wameuvua undugu.naishi maisha magumu sana
Alafu eti hii nchi umpe mchaga!
 
Back
Top Bottom