Respect......CR7

Respect......CR7

RRONDO

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2010
Posts
55,727
Reaction score
123,094
Pamoja na baadhi ya watu kutomkubali huyu mtu,CR7,lakini vitu anavyofanya si vya kawaida na anastahili kuingia kwenye vitabu vya 'legends'...Hebu angalia rekodi zake za magoli na mechi alizocheza.

cristiano-ronaldo-goals_3352490.jpg


cristiano-ronaldo-goals_3352495.jpg


cristiano-ronaldo-goals_3352575.jpg


cristiano-ronaldo-benzema_3352506.jpg



Ronaldo's recent scoring heroics have put him on 321 from 304 appearances for Madrid. He is now just two short of all-time leading scorer Raul - despite having played over 400 fewer games.

Last week's five-goal haul against Espanyol and his treble against Shakhtar took him to 37 hat-tricks for club and country, and he is also three goals clear of Lionel Messi in the Champions League, with 80 goals making him the competition's all-time leading scorer.

 
RESPECT ...........CR7.
Yaani hii statement:
'He's just two goals short of the all-time goal scoring record holder Raul Gonzalez DESPITE playing over 400 fewer games', THIS IS SCARY!
Huyu ni MONSTER! na amethibitisha ubora wake maeneo tofauti. Uwiano wake wa kufunga magoli kwa kila mechi utachukua muda sana kuja kuvunjwa. Sio kizazi chetu!
RESPECT CR7.
 
Dah!
Mi mdau wa Arsenal, lwa kuangalia hao waliompa assists akiwa Madrid, naona tuna m-miss use Ozil.
 
RESPECT ...........CR7.
Yaani hii statement:
'He's just two goals short of the all-time goal scoring record holder Raul Gonzalez DESPITE playing over 400 fewer games', THIS IS SCARY!
Huyu ni MONSTER! na amethibitisha ubora wake maeneo tofauti. Uwiano wake wa kufunga magoli kwa kila mechi utachukua muda sana kuja kuvunjwa. Sio kizazi chetu!
RESPECT CR7.


Ana magoli 321 kwa mechi 304 za Real Madrid!!!! Jamaa anatisha!
 
Dah!
Mi mdau wa Arsenal, lwa kuangalia hao waliompa assists akiwa Madrid, naona tuna m-miss use Ozil.

Ha ha ha ha hata Di Maria kampa assists nyingi tu kwahio hata Man utd wamem misuse ADM
 
Sio di maria au ozil...anahitajika stricker mwenye akili ya kumalizia na kiwango kama tonaldo
 
Sir Alex transformed CR7 from a show pony to CR7 u know today!!! Real Madrid wamempata CR7 akiwa kamili!

No no no. We transformed him from a prima-donna sulky diving boy, to a goal scoring legend and a man. We provided him the platform to be mentioned with best. Had CR stayed with United, he woulda ended being mentioned with the likes of Hazard, not Messi.
 
No no no. We transformed him from a prima-donna sulky diving boy, to a goal scoring legend and a man. We provided him the platform to be mentioned with best. Had CR stayed with United, he woulda ended being mentioned with the likes of Hazard, not Messi.

Hell No!!! He was a complete player i mean star at United thats why Real paid 80m GBP!!! Can sensible team buy a prima-donna for 80m GBP??!!!
 
Hell No!!! He was a complete player i mean star at United thats why Real paid 80m GBP!!! Can sensible team buy a prima-donna for 80m GBP??!!!

Yessir. Not just any club, but Real Madrid. We see potential where almost no one sees it. We invented tearing-up the pockets for big players with potential big names and games. And if truth be told, that amount was a steal.

CR used to dive, act dramatic, choke in big games that mattered, you name it. But he's a different man now. He's a team player. We help him score 3+ goals per game, all he has to do is be there. At United, he had to dribble past 2-4 players and work the hardest just to score. With the Whites, it's all tap-ins and penalties.
 
He is surely good
Hao wanaosema kuwa ni penalties sasa kama yeye ndio penalt teka ulitaka nani apige
 
He is surely good
Hao wanaosema kuwa ni penalties sasa kama yeye ndio penalt teka ulitaka nani apige

Penati 81 kati ya magoli 499....bado ni chache sana.
 
Back
Top Bottom