Dont mention babeThanks love
Asantee. Mazishi Meru jumamosi. Yupo mke wake
Uptown is a place where I lay my dogs......
Tell me where are from.... UPTOWN BABY
Mbona na mie namjua Peter Gunz na sio wa kitambo?
Upo kwa mama ake Kigamboni South Beach ResidenceDar hakuna msiba kwao/kwake ?
Apumzike kwa amani.
Hata 30 sijafika [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]. Namjua kupitia reality show ya Love and Hip HopLord Tariq and Peter Gunz walitoa wimbo wa Deja Vu December 1997,nina uhakika ulikua teenager wa not less than 15yrz sasa hivi nakadiria utakua huna chini ya miaka 36!
Sio mdogo kwa vyovyote!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hata 30 sijafika [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]. Namjua kupitia reality show ya Love and Hip Hop
Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
Siku hizi hamna ma mc"If it wasnt for the Bronx,there wont be this rap shit...Niggaz ask where Im from,Uptown Baby,Gets get down baby".....Lord Tariq and Peter Gunz!
Kumbe unakuaga na akili wakati mwingi eehh!!
Kumbe alikuwa na ukimwiKaumwa kweli ila hakuwahi kuonekana kama mgonjwa. Alikua jasiri sana kulinganisha na ugonjwa alokua anaumwa.
Alikuwa shoga maaruf sinzaNyaningabu tuambie huyu rafiki yako alikuwa nani kwenye jamii,maana umeweka mambo yenu ya shule ya kutoroka vipindi na kunyuka watu kwa raba mtoni,je alikuwa msanii,mwanataaluma,mfanyabiashara au mganda wadada?