iloveguinness
Senior Member
- Oct 31, 2010
- 176
- 90
Yule mblack siyo???
Kwani yule mkaka wale siyo watoto wake??
Ndoa chali. Alijilipua kufua chawaUkijielewa ndo huliwi? Mtoto mzuri vile shombe shombe kweli wakware wa mji wamwangalie tuu
Duh!!!Ndoa chali. Alijilipua kufua chawa
Mimi namjua Peter Gunz tu...wana undugu?
RIPMwanaume mvaa Hereni ? Aaaaaaa! Ninyamaze nisije toa lugha mbaya nikapata Dhambi bure
Mleta mada upooooKwa wale mnaomfahamu Franklin Ndossi (Kizzo Gunz) he's no more.
Rest In Peace Dear Friend. View attachment 733582
😀😀 Kumbe mzimaKwamba nimekufa na mimi??