Rest In Peace Kizzo Gunz

you are the next.....

RIP hansdome

pole
 
Zaidi ya ugonjwa ana wasifu gani mwingine maana nimeona mpaka Mange kamlilia...

RIP Ndossi
 
umejuaje kuwa jamaa SIO MMASAI.?
acha UPUMBAVU.
jadili vitu vya maana.
HATA KAMA NI SHOGA WEWE INAKUHUSU NINI?
ishi MAISHA.
hii habari haijaletwa ili tujadili HERENI.
JAMAA AMESHAJIONDOKEA YA NINI KUJADILI MAOVU YAKE?
SI UPIGE KIMYA TU.
KWANI UTAPUNGUKIWA NA NINI?
WEWE NDO UNAUMIA SANA JAMAA AKIFA HERENI.
HUMJUI HAKUJUI YA NINI KUHANGAIKA NAE?
 
hata kama akiwa mmasai hamna mmasai anayetoboa masikio hivyo...sikwamba inaniuma ila siupendi ushoga ndio maana naukemea..nina wasiwasi na wewe ni shoga ndio maana unajaribu kumtetea shoga mwenzako
 
hata kama akiwa mmasai hamna mmasai anayetoboa masikio hivyo...sikwamba inaniuma ila siupendi ushoga ndio maana naukemea..nina wasiwasi na wewe ni shoga ndio maana unajaribu kumtetea shoga mwenzako
wewe utakuwa na upungufu Wa akili.
unaumizwa na vitu ambavyo havikuhusu.
mbona Mimi sikuiti wewe shoga.
maana sina uhakika.
sijawahi kukukuta ukifirw.
HATA KAMA UKIVAA GAUNI NITAPATA WAPI KIBALI CHA KUKUITA SHOGA?
 
Sad day for everybody who knew Frank. He was a cool down to earth humble guy. Alipigana vita na kupambana vilivyo na ugonjwa uliomchukua. Gone too soon mdogo wetu.
Nashukuru Mungu kwa kuweza kukufahamu....you were a fun ball in the room.
Poleni sana wana familia, ndugu, jamaa na marafiki. Pole sana carol Ndossi...Mungu atawavusha katika hili.
Pumzika kwa Amani Franklin....Pumzika kwa Amani Kizzo.
It's a cold world.
 
wewe utakuwa na upungufu Wa akili.
unaumizwa na vitu ambavyo havikuhusu.
mbona Mimi sikuiti wewe shoga.
maana sina uhakika.
sijawahi kukukuta ukifirw.
HATA KAMA UKIVAA GAUNI NITAPATA WAPI KIBALI CHA KUKUITA SHOGA?
Umesema kweli mkuu. Kuvaa hereni hakuna uhusiano wowote na ushoga. Ila usitumie maneno makali kama hilo nililolipunguza ukubwa. Kuna maneno mbadala.
 
Umesema kweli mkuu. Kuvaa hereni hakuna uhusiano wowote na ushoga. Ila usitumie maneno makali kama hilo nililolipunguza ukubwa. Kuna maneno mbadala.
bro mimi nachukia sana.watu wanao wahukumu wenzao kwa MUONEKANO WAO.
vinginevyo MTU ajitangaze mwenyewe aseme Mimi ni SHOGA.
hapo sawa si kasema yeye.
LAKINI SIO KUMUHUKUMU KWA MUONEKANO WAKE.
 
wewe utakuwa na upungufu Wa akili.
unaumizwa na vitu ambavyo havikuhusu.
mbona Mimi sikuiti wewe shoga.
maana sina uhakika.
sijawahi kukukuta ukifirw.
HATA KAMA UKIVAA GAUNI NITAPATA WAPI KIBALI CHA KUKUITA SHOGA?
sio lazma ukute mwaume anafirw* au anavaa gauni ndio umwite shoga...mwanaume rijali hawezi vaa hereni,mwanaume na urembo wapi na wapi sasa kama sio ushoga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…