TANZIA Rest In Peace Ngosha Joseph Pande naibu DPP, Kifo chako kimeniumiza

Mdude_Nyagali unamjua mwanamama Erythrocyte ambaye ni mke mdogo wa Mbowe, Naskia mimba yao imefikisha miezi sita, ni kweli.?
Wanawake wambea kama wewe mna nini?

Badala uoshe vipuyuyu vyako vyote viwili cha nyuma na cha mbele, mumeo anafurahia hapa Yanga kushinda, kalewa njwiii, anaropoka jinsi anakuja kukutifua mtaro wa mav!
 
Umengoja kafa ndio unasifia ulitakiwa kuweka wazi kabla!
 
mdude, nilikuwa sijui kama una akili hivi. kwetu sisi tunaofanya kazi mahakamani kama mawakili wa kujitegemea, tunamjua sana huyu jamaa. alikuwa mtu mwema sana pamoja na kwamba alipambana sana na watu waovu kama hao. nilishawahi kufanya kazi ofisi ya dpp, hao watu hata wakiwashitaki jueni kuwa sio wao, wanashinikizwa mno na wakati mwingine wanakubali yaishe kesi ifunguliwe wakijua inaenda kufa mahakamahani ili waliopeleleza na kusuka kesi waaibike wao. ni ofisi ngumu sana hiyo.
 
Alipokuwa ofisi ya DPP kanda ya Mbeya kabla ya kupandishwa cheo mara kadhaa alikuwa anakataa kesi za mchongo dhidi yangu alizopelekewa na polisi[emoji419][emoji375][emoji173]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe Tanzania hii bado kuna good guy's, MHSRIP, na umeacha legacy nzuri na bila shaka family yako itatembea kifua mbele
 
Sasa jichanganye uone
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…