sizani kama tunaleta ligi, kwasababu" if I am man , i dont need to prove i am confidence " itoshe kusema he is best , so kupata history kwangu sijui kama kuna uhusiano wowote na mada tajwaScreen shots matokeo yao
Anazani History ni zile simulizi alizokuwa anasimuliwa na washkji zake,Anazani kila tukio lilopita basi ni la kihistoria,,PHYSICS ni ngumu sana lakini hiyo histry inayoizungumzia ndio so
kaka ilinibidi niingie chimbo kidogo,Alntumia moja ya vitabu vyake
Nmeona maajabu sana
Sababu Ali simplify physics to it's maximum level
Mfano Kuna ishu moja ya rotation simply akarahasisha no deriving akasema tu acceleration ni simply force over resisting mass
So ukiapply kwenye rotating body acceleration itakua sawa na
Mgsintheta /Mass of the body + moment of inertia ya hyo body over radius square
Mani akili ya kuwaza mpka hapo simply ni hatari
Yeah true they lack common social skills kama Nikola TeslaWe know Mozart , 1782 alioa mtu ambaye baba ake almkataa and he was damn poor matatizo ya kutunza pesa yalkua yanamkabli
All Geniuses in this world lacks some common social skills
Mada ndefu hii but usjfanye you know Mozart wewe pekee mwanangu we know him tunamuappreciate kwa Opera zake
Ila tunamkubali pia muafrica mwenzetu
Rip Elias aisee
huyu mwamba alikuwa na wakati mgumu sana , katika safari yake ya kukitoa kile alichonacho, ila hii ni kawaida ya watu wenye uwezo wa juu , NICOLA TESLA bila kumsahauEinstein alipitia Hali ngumu Sana ya shule
Ngumu Sana
Unadhani kwann nmemuweka Tesla kwenye I'd zangu zte naztumia hapa jukwaanihuyu mwamba alikuwa na wakati mgumu sana , katika safari yake ya kukitoa kile alichonacho, ila hii ni kawaida ya watu wenye uwezo wa juu , NICOLA TESLA bila kumsahau
Yes inclined plane bosskaka ilinibidi niingie chimbo kidogo,
niende kuisaka ,
iyo theory ingaongelea ,
when rotating object move at certain inclination and huku inarotate
hapo unakuta how acceleration inakuwa affected na friction force, radius na inertia.
very complex, hususani unapotafuta accn kwenye kitu chenye friction force, huku kina rotate.
ingawa nakaidea but sijui mwamba atakuwa alifikiria nini b4
ila idea yake ilikuwa how to find accn in body rotate in inclined plane
Hajawahi kufanya kazi BOT ila alivyomaliza degree ya kwanza,BOT wakampa ufadhili wa kusoma degree ya pili wakati huohuo udsm wakampa kazi kwa mkataba kabla ya kuja kuajiriwa na utumishi baadaeWala hujamchanganya. Chegere alianza kazi BOT na ndipo baadae akarudi Chuo kusoma na kuamua kufundisha. Hadi leo yupo UD - Economics Department
Hakuna anaebisha kwa hilo kuwa he is the best,hilo la kuliona history ni somo rahisi ndo tunalolikataasizani kama tunaleta ligi, kwasababu" if I am man , i dont need to prove i am confidence " itoshe kusema he is best , so kupata history kwangu sijui kama kuna uhusiano wowote na mada tajwa
hahaha huyu jamaa , historia yake iYeah true they lack common social skills kama Nikola Tesla
yap hata mimi MKUU, sijasoma eng, wala physics ila na mm ni med practitioner but am not doctor like you bossYes inclined plane boss
Nakumbuka kiasi though I am a Med practitioner
Unataka kusingizia na ww ni kipanga ambae hukusoma instructions vizuri!!???Hiyo phy mm nilipata B, paper 2 instructions zilikuwa tofauti na ilivyozoeleka wengi tulikuwa hatusomi instructions za kila sections kumbe ilipaswa tujibu maswali yote 10 badala ya 6.. aise nimekuja kugutuka zimebaki dkk 15 jasho lilinitoka kinoma.. jamaa waliopata 1.3 mwaka ule ilikuwa komesha Mungu ampumzishe kwa amani
Kuna watu wabishi aisee sijapata kuona.mimi nimesoma na Martin chegere ukonga primary school , miaka yote mimi nakamua tuition yeye hakuwahi kusoma tuition.lakini kupata 100 mitihani yote ilikuwa kawaida sana.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji14]
Kuna watu ni mashujaa wa kupinga jamani[emoji23][emoji23]
Asee wanampinga hadi T.O?[emoji23][emoji23][emoji23]
Wacha kutupoteza.....Watu wanashindwa kutofautisha kati ya Akili na Maarifa
Chegere is blessedKuna watu wabishi aisee sijapata kuona.mimi nimesoma na Martin chegere ukonga primary school , miaka yote mimi nakamua tuition yeye hakuwahi kusoma tuition.lakini kupata 100 mitihani yote ilikuwa kawaida sana.
Tulivyokuwa darasa la sita mwalimu mkuu akamualika Martin chegere afanye mock ya darasa la Saba wakati yeye ni yupo la sita.
Trust me Martin aliongoza upande wa shule ya ukonga mock akiwa darasa la sita.
Ndio maana alipofika necta ya darasa la Saba mwaka wake akaongoza kitaifa na wala hatukushangaa
Mbona nasikia watu wanasema magenius huwa hawasomi sana?!Nilimkuta library siku moja, yupo chemba aisee ...jamaa nafkiri hachoki kusoma. Wakati mimi natizama movie ya pili yeye bado anakula kitabu hahahaaaa.
Tatizo kaka mkubwa umeanza kuwataja manabii walioletwaga Duniani kwa sababu maalumu,Marehemu ubongo wake ulikuwa unafanya kazi vizuri sana sema hakupata nafasi ya kujiendeleza
Haya matango pori huwa tunalishana sn uswazi, huwezi kujua hata cku moja ulipata ngp necta, ni siri ya baraza.Ndio ni vigumu kufikiwa
Jamaa alipata 98%
Ya physics
97% chem
99% math
98% Gs
Sa kuna TO anaweza kufikia hapo
Bora aisee [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Comments za wenye roho za kwanini sizisomagi, nazipita kwa ku scroll down.
Genius ndiyo wanaosoma sn mana huwa wanawahi kuelewa hvyo ni rahisi kusoma mambo mengi kuliko slow learners.Mbona nasikia watu wanasema magenius huwa hawasomi sana?!