National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Na hakika mkuu, ukuaji wa Technology na hizi platform miaka ya nyuma ilikuwa changamoto sana , hata gharama ilikuwa juu.. internet.. hizo smartphone, ipad na laptop ukilinganisha na sasa hivi.. huwezi linganisha mazingira ya 2004 na 2013.. kuna shift kubwa sana2000-2016 una uhakika hayo unayoyasema hayakuwepo?
HahahahaJanjajanja akina arts hawajui haya
Bado tasnia ya Physics pengo ni kubwaHahahaha
Hivi Mkuu Maghayo uliwaza Nini?Tansia ya physics na mathematics kusema kweli Imepata pigo kubwa nchini karibuni. Muddy Physics katangulia tena leo Kihombo. Janjajanja akina arts History Geography yanazidi kudunda tu kwenye ardhi ya mola.
Mkuu saint anne unajuaga kwa hili unanifanya nicheke sana.Hivi Mkuu Maghayo uliwaza Nini?
Elimu ya secondary O level umemaliza mwaka Gani?Na hakika mkuu, ukuaji wa Technology na hizi platform miaka ya nyuma ilikuwa changamoto sana , hata gharama ilikuwa juu.. internet.. hizo smartphone, ipad na laptop ukilinganisha na sasa hivi.. huwezi linganisha mazingira ya 2004 na 2013.. kuna shift kubwa sana
Mimi tena?Mkuu saint anne unajuaga kwa hili unanifanya nicheke sana.
Form six au form four?ndio mkuu 2008
kidato cha sitaUlikuwa TO darasa la 7?
Mkuu maghayo nje ya mada naomba kuuliza hivi unapokua unataka kwenda nje ya nchi je inawezekana mwenyeji wako kule ulaya akakuombea yeye visa? Kwa maana akafanya process zote yeye mwenyewe kule kule badala ya ww kuomba huku. Nikilenga kwamba akiomba yeye kulekule inakua rahis kuliko akituma mwaliko kufuatilia ubalozi wa nchi husika huku bongoMkuu saint anne unajuaga kwa hili unanifanya nicheke sana.
mimi kuwa T.O kidacho cha nne unaumia mkuukidato cha sita
UkimwiNini kilimsibu tena mpaka akapoteza uhai
Ova
Mbona una ji reply!?mimi kuwa T.O kidacho cha nne unaumia mkuu
Ukimwi
Ni kazeze ,ni kazeze ni kazeze kwa mabronzoo ,mambronzooo masista duu machizi ,walimu na wanafunzi ni kazeze ni kazeze ni kazeze.Aise hatari sana
Ova