Results Slips form iv 2013 Zitatumwa Lini Mashuleni Kutoka Necta?

Results Slips form iv 2013 Zitatumwa Lini Mashuleni Kutoka Necta?

SHIEKA

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2011
Posts
8,240
Reaction score
4,265
Nina apply kwenda form v July hii. Moja ya nyaraka inayohitajika na shule niliyoapply ni results slip. Sina mawasiliano ya haraka na shule niliyosoma o level ili kujua kama results slip zimewasili na nashindwa kufunga safari kwenda shuleni kuulizia kwa sababuni mbali na ni gharama kubwa kusafiri kwenda huko. Kwa wale wenye uzoefu wa utumaji wa result slip naomba mnieleze kama kuna uwezekano zimeishatumwa mashuleni, asante
 
bado kijana umepata division five nini ndo unaharakisha kwenda private? na ni shule gan? ipo wap? ada sh ngap? na unachukua combn gan? na je una malengo yap? na unataka uyatimizeje? Na je ukifeli six s umepoteza muda!? Hakuna njia nyingne ya shotcut ba? Nijibu maswal tafadhali
 
Nina apply kwenda form v July hii. Moja ya nyaraka inayohitajika na shule niliyoapply ni results slip. Sina mawasiliano ya haraka na shule niliyosoma o level ili kujua kama results slip zimewasili na nashindwa kufunga safari kwenda shuleni kuulizia kwa sababuni mbali na ni gharama kubwa kusafiri kwenda huko. Kwa wale wenye uzoefu wa utumaji wa result slip naomba mnieleze kama kuna uwezekano zimeishatumwa mashuleni, asante

Acha uongo mkuu SHIEKA,au ni mwanao,unauliza kwa niaba yake?
 
Last edited by a moderator:
bado kijana umepata division five nini ndo unaharakisha kwenda private? na ni shule gan? ipo wap? ada sh ngap? na unachukua combn gan? na je una malengo yap? na unataka uyatimizeje? Na je ukifeli six s umepoteza muda!? Hakuna njia nyingne ya shotcut ba? Nijibu maswal tafadhali
godimpare shika adabu yako! Umeona wapi nimepata division five? Kama hujui jibu la swali nililouliza ukikaa kimya utapoteza nini? Majibu yako hayaridhishi hata kidogo.
 
Last edited by a moderator:
Nenda necta ukawaulize
@riro, necta wameshanipa picha hawako vizuri. Nilijaribu kutembelea tovuti yao wakailetea ujumbe kwamba tovuti yao bado ipo kwenye matengenezo.
 
bado kidogo mtuwangu. siunajua kilakitu kimebadilika kwa sasa, wakitoa nitakujulisha
 
Hivi kumbe vijana wa miaka hii mwatumiwa results slip mashuleni mwenu mlipohitimu!!

Nakumbuka wakati huo nilipomaliza shule, karatasi hizi za matokeo tulikuwa tunazifuata ofisi za NECTA na unalipia malipo fulani ili utengenezewe.

Isipokuwa cheti cha kuhitimu elimu ya sekondari either CSE au ACSEE ndio kilikuwa chatumwa mashuleni na hiyo ilikuwa ni baada ya mwaka mmoja tangu kutoka kwa matokeo.
 
nauliza swal kwa anaejua kama hujui ucjibu ukae kimya ctak majbu ya kejel plz! Application za vyuo vya certificate ni ln? Kwa nursing and tearching! Kwa waliomaliza kidatoa cha nne! I need ur help.
 
Back
Top Bottom