Retirement Age - Do we have Legal Requirment

Marvin

New Member
Joined
Oct 31, 2011
Posts
1
Reaction score
0
Wenzangu,
Nafahamu Umri wa retirement wa Public Servants ni 60 Years, Nauliza, do we have a legal retirement age as a legal Limit- in the Act / Law?

Naomba usaidizi
Marvin
 
Hakuna legal requirement but ni kanuni kwenye standing orders kuwa ukomo wa pensionable utumishi wa umma ni miaka 60. Baada ya umri huo, unaweza kuendelea kwa mikataba ya miaka 2 isiozidi mara mbili.

Hata hivyo limit hiyo haihusu teuzi za rais kwa nafasi ambazo sio za utendaji, uwaziri/ uenyekiti wa bodi, na ujumbe kwenye tume zozote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…