Boss wangu alinijulisha kwa mdomo kwamba natakiwa kuwa rentrenched kwa hiyo HR watanijulisha Zaidi. Siku mbili baadae, nikapewa Termination Letter ambayo inasema ajira yangu itakoma baada ya siku 28.
Nataka kujua unaweza kuwa terminated bila kufuata taratibu na bila kupewa sababu
Nataka kujua unaweza kuwa terminated bila kufuata taratibu na bila kupewa sababu