Yusuph Issa
JF-Expert Member
- Jun 20, 2013
- 528
- 82
namshukuru aliyelileta jukwaa na sote kupata nafasi ya kuelezea na kushare idea zetu,naanza hivyo kwa leo na amani iwe nanyi wote wanajamvi naanza kama ifuatavyo.CRAZY GK nimeanza kumjua kitambo sana akiwa kundi la east coast kiukweli mshkaji he knows what he do na legendary wa music coz yuko kwenye game ya music kwa kitambo kirefu naomba ifahamike kuwa namuheshimu CRAZY GK kama msanii mkubwa na mkongwe but RETURN OF THE MUSIC MESSIAH kiukweli GK kajipange upya brother la sivyo hizo ngoma utasikiliza mzungu wako chumbani!!!!!!!!