Salamander
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 28,536
- 15,746
watu mnadis coz ndo nyie mnaosema bora mngezaliwa mbwa america! ni baraka au laana?
watu mnadis coz ndo nyie mnaosema bora mngezaliwa mbwa america! ni baraka au laana?
haya nitarejea lakini gk ana kigugumizi
Kwani we umechelewa wapi? GK hajui kuimba,kama shemeji yako mwambie fani ziko nyingi sio lazima wote tuwe waimbaji.
We unayejua kuimba una album au mixtape ngap sokoni? mwanamuziki anatakiwa aweze fanya styl yyte alafu sio lazima wimbo ukubaliwe na ww ndo uwe mzuri: refer verse ya AY kweny amazangu amazao
Hujakatazwa kumfagilia GK lakini wadau wa muziki wanasema ametokota, hivi wewe na hawa wadau wote wanaomkosoa ni wewe tu peke yako ndio unajuwa Muziki?ngoma iko poa xema kwa wa2 wasiojua kuwa game ina change alafu mwanamuziki huwez kuwa na nyimbo za aina moja mazee alafu pia sio kila wimbo lazima ukubaliwe na wa2 wote! nyimbo ile haina tofauti kubwa na ngoma ya simba wa africa katika staili coz hata katika simba wa africa aliimba, namfatilia gk tangu zamani yupo talented xana yule jamaa, jaribu kufuatilia nyimbo zake ambazo ashawah fany utagundua. ni mtazamo2 tusijenge chuku!