Reuben Ndege kavae viatu vya jasiri uingoze njia

hawakosekanagi hao
itabidi ajifunze tu mkuu kuishi na watu vzr, pia serikali
 
Kiwango cha PHD cha roho mbaya aisee

Ungeweka wazi alikosea wapi huko SCANAD ungetisha sana

Matangazo yote ya biashara kwa miaka 7 bado unasema aliishusha?
Tigo,Vodacom,cocacola,pespi,DSTV na mengine mengi bado unasema nini ?
 
Mtu kuwa corporate anafundishwa ama anajifunza mwenyewe kulingana na mahali alipo kwa wakati husika

Angalia uvaaji na maneno ya majizzo alipokuwa Dj magic na leo Ni sawa?

Anajua yeye sasa Ni CEO anatakiwa kubadilika

Ncha Kali chini ya Joe mwenyewe,Maganga,KP,Gadner na dozen plus hawa think tank wapya kama CZA na Aman Martin ataenda kufanya kazi nzuri
itabidi ajifunze tu mkuu kuishi na watu vzr, pia serikali
 
Tupac Ni moja kati ya viumbe wahuni kuwahi kutokea duniani ila haindoi maana kuwa Ni moja kati ya binadamu wenye IQ kubwa kuwahi kuishi chini ya jua

Ncha Kali ana usela gani? Meanwhile bado kijana ulitaka aongee kama Kabudi?
Nina uwezo wa kumjuji mtu hata kwa ongea yake,nishawahi kumwona akihojiwa bado usela anao,CMG ni taasisi kubwa sio taasisi ya majaribio.
 
Ko umekosa hata ka picha ya 'ndege' kusindikizia uzi wako!!!?
 
Tupac Ni moja kati ya viumbe wahuni kuwahi kutokea duniani ila haindoi maana kuwa Ni moja kati ya binadamu wenye IQ kubwa kuwahi kuishi chini ya jua

Ncha Kali ana usela gani? Meanwhile bado kijana ulitaka aongee kama Kabudi?
IQ inatofautiana kila nyanja,kuna watu wana IQ kwenye mziki,wapo wenye IQ kubwa kwenye mpira akina Messi,wapo wenye IQ kubwa Darasani.So sio kwa sababu una IQ kwenye mziki basi,ukazani hata ukipewa kampuni utaweza kuiongoza.

Acha masihala usifananishe IQ ya kwenye mziki na kampuni vitu viwili tofauti,yaani na usela wako upewe kampuni kubwa kama CMG,we unazani CMG wajinga?

Pac na bange zake umpe kampuni aiongoze,hebu kuwa serious.
 
Tupac Ni moja kati ya viumbe wahuni kuwahi kutokea duniani ila haindoi maana kuwa Ni moja kati ya binadamu wenye IQ kubwa kuwahi kuishi chini ya jua

Ncha Kali ana usela gani? Meanwhile bado kijana ulitaka aongee kama Kabudi?
shangazo
 
Huu ndo uchawi sasa
 
Kiwango cha PHD cha roho mbaya aisee

Ungeweka wazi alikosea wapi huko SCANAD ungetisha sana

Matangazo yote ya biashara kwa miaka 7 bado unasema aliishusha?
Tigo,Vodacom,cocacola,pespi,DSTV na mengine mengi bado unasema nini ?
Kiwango cha PHD cha roho mbaya aisee

Ungeweka wazi alikosea wapi huko SCANAD ungetisha sana

Matangazo yote ya biashara kwa miaka 7 bado unasema aliishusha?
Tigo,Vodacom,cocacola,pespi,DSTV na mengine mengi bado unasema nini ?
Wako wapi leo hii hahahah
 
Pac ametokea wapi tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…