Reuben Singh Singasinga 'Ginimbi' kutoka India

Ukianzisha uzi wa Ginimbi wa Tanzania unitag wewe mkaldayo

Halafu mkubwa hukutupa feedback ya ile US lottery uliyokuwa unacheza

Ha ha et mkaldayo [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Pagani Huayra.
 
naona huyu anaitwa mjasiriamali ila ginimbi tukaambiwa anafuga joka linalotema ela.....umasikini wa mawazo bara giza sijui utaisha lini
 
ila yule mswahili mwenzetu ginimbi daaah alitisha
 
Kwa serikali ipi hii ya awamu ya tano thubutuuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
kuna kipindi askofu kakobe alisema ana hela nyingi sana mpaka anaizidi serikali kilichomkuta hawezi hata kuisimulia maiti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…