Rev Masanilo

PM yangu iko disabled. lakini weka tu hapa kwa kuwa ni sala kwa manufaa ya wengi

Kuna wale wa dini Mbadala watakukwaza! sasa sisi wachungaji hutufanyi hadharani! Ubarikiwe sana
 
Hii avatar ya baba mchungaji haiendani kabisa na maadili ya utumishi.
Anyway hongera Mchungaji..........

Karibu sana mrembo! Karibu kwenye nyumba ya ibada umpokee bwana kama mwanga na mwokozi ya maisha yako
 
Dah....Hizo nguvu za kuwa mchungaji umezipata wapi bwana?Ngoja FD8 aje humu

mgawaji ni Mungu, wala hatoi taarifa kwa umma, bali humfanya mtu vile apendavyo
tena haulizwi wala kuhojiwa, maana hapana aliyejuu zaidi yake,
hahaaaaa tumsapoti Rev Masanilo katika hili wala hatupaswi kuhoji
kekeeeeekeeeeeee
 
eeeh Rev. Masanilo nimekukubali lkn nasoma namba kwanza.mpakwa mafuta wa bwana.
 
Kazi kubwa ni kumslimisha maalimu shekh mfuga majini Malaria Sugu abadili dini aje kanisani kwangu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…