Rev Masanilo

Kazi kubwa ni kumslimisha maalimu shekh mfuga majini Malaria Sugu abadili dini aje kanisani kwangu!

hiyo ni kazi ya 'Neno' la Mungu. acha Mungu akutumie ww kufanya hivo, sasa usije ukajisifu pale matokeo yatakapokuwa mazuri useme 'si unaona ni kazi yangu hiyo!'
 
unaanza kunipa mashka.unakwazika kirahisi hivo? sasa hao kondoo waliopotea utawarudishaje kundini?

Kwa sala na kazi! Kunapo imani hata kama ni ndogo kuliko mbegu za haradani milima itahamishwa....itikia amina
 
Karibu kundini mchungaji wa kondoo nipo na nguvu mpya!


Kweli dasaja la kichungaji si mchezo... naona umekata sana magadi in just a few hours... Surely sasa wale matomaso watakuelewa
 


Kweli dasaja la kichungaji si mchezo... naona umekata sana magadi in just a few hours... Surely sasa wale matomaso watakuelewa

Kwenye uchungaji kuna kondoo na Mbuzi! kuwaweka pamoja ni kazi pevu!
 
Kazi kubwa ni kumslimisha maalimu shekh mfuga majini Malaria Sugu abadili dini aje kanisani kwangu!
Mch. huna haja ya kutia najisi na MS... Yeye ni wale walioamua kuwa na mioyo migumu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…