Revealed: Tanzania`s shocking vast wealth

Roho inauma sana unaposoma habari kama hii.
Je tunadhani Ngeleja ana ubavu wowote? Nilipata fununu kwamba alikuwa mwanasheria kipenzi wa RA na ndio aliemfinance kupta ubunge na offcourse kwa lengo la kupewa uwaziri.
Kama ni kweli bado tunazunguka mduara. (God forbid)
Cha kufanya ni kukusanya wananchi wenye kupenda nchi na SIASA ili wagombee nafasi, tuliobaki tuwaunge mkono kwa wingi wachukue nyadhifa muhimu.
Mbona Zimbabwe wanasogelea ukweli sasa?
Inawezekana, kwa madini haya, tutakuwa kama urusi siku moja.
 

Haika,
Kwa hakika mtu yeyote ambaye siku zote atakataa ukweli basi ujue huyu ana matatizo makubwa, tena makubwa sana.
CCM ni chama ambacho kina nguvu sana na kina watu wengi wazuri na safi kabisa! Nguvu ambayo wanajivunia ni nguvu ambayo wamepewa na wananchi wa kawaida kwa kupigiwa kura. Kwa hiyo basi, kazi ya wanasiasa walioko nje ya CCM isiwe kuwekeza kwenda pale magogoni (Ikulu) bali iwe ni kuimarisha na kuwapa uwezo wananchi ambao ndiyo wapiga kura waweze kuwa tayari kufanya maamuzi yatakayo leta wabunge wengi katika bunge na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Endapo wabunge watakuwa katika kiwango cha uwiano mzuri bungeni basi mambo mengi yanaweza kurekebishika bila ya wasiwasi. Tena basi, hapo ndipo tutakapoona jinsi gani serikali itakavyoweza kuwajibika zaidi kwa wa piga kura.
Kinyume cha hapo, kama kinachowekezwa ni kwenda Ikulu, basi hiyo short cut imezibwa na CCM, haipitiki na kuna kibao kimeandikwa 'No Entry'
 
 
Ni majonzi machungu na masikitiko,ivi hawa viongozi wetu wamelala au hawasomi haya mambo!
Ipo siku mtz atafumbuka macho tuu
 
bullet and not ballot! one bullet for one mwekezaji fake! and one ballot for a good leader!
 
Kuna watu waliopo madarakani wanaotaka kuhakikisha utajiri wote huu unatumika kwa malengo binafsi kabla ya kutoka madarakani au hawajafa.
 
UUUUUWI Twafa jamani

CCM Hoyeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…