Revealed: Watoto wa 'vigogo' waliotimuliwa TANROADS, Majina haya hapa...!


Hii nchi ni ya propaganda nyingi sana
 
Ndugu wajumbe najaribu kutoa maana ya neno"Kigogo" kama lilivyotumika kisiasa, Kigogo ni mtu yeyote mwenye nguvu kipesa,mwenye/amewahi kuwa na mamlaka 'kwa kuwa na nafasi kubwa'katika taasisi za chama au serikalini.
 

tatizo lao hawafanyi interview wao wanakuja na vikaratasi tu,hila wakipita njia kama za wengne hamna tatizo.
 
Watu wa mizani wafukuzwe kwa sababu nyingine lakin hili la kuwa ni watoto wa vigogo ni publicity stunt tu.mimi nawafahamu kama jamaa wa 2 hiv wapo mizani na wanatoka familia za kawaida tu.
Kwanza kigogo gan atampeleka mwanae mizan?labda kama hataki shule!taasis zenye watoto wa vigogo wanazijua wanataka kutuzuga.
 

Mbona kigezo cha kuwafukuza haieleweki? Je, ni kwa sababu kuwa mtoto wa kigogo, hawana sifa za kuajiriwa au sababu za kinidhamu?

Kama ajira haijafuata utaratibu angefukuzwa huyo aliyewaajiri badala ya kuwafukuza watu ambao hawana makosa (innocent).
 
magufuli naye boya kumbeee??
ngoja tumsubiri mwakyembe na ripoti ya bandari sasa
 
Wamefukuzwa kwa sababu gani?

ELIMU HABA MKUU
MAGUFURI KAFANYA PhD sasa hawajamaa huenda anawaona elimu ndogo kulingana na nyadhifa walizo pewa kupitia vimemo...wakati kuna vijana magufuri alikua anakula nao desa pale UDSM wapo-kitaa na anawaamini.. So kusafisha njia kaanza na hawawachache.
MAWAZO YANGU TU JAMANI
 
kigogo ni nan? ukienda BOT ukiangalia majina unaweza ukadhani hakuna watoto wa vigogo, lakini wapo kibaooo watu wanacheza na majina tu
 

Kaka usiwe mgeni wa Tanzania hii, hao wametolewa kafara tu, mnyonge siku zote hana haki, watoto wa vigogo ndo kwanza wanatumbua bata TANROADS ile kauli ya Magofuli ni daganya toto tu, da! inauma sana, lini Yesu atarudi? angalau wanyonge tutambuliwe.
 

Kaka hao wametolewa kafara tu, watoto wa vigogo ndo kwanza wanakula bata TANROADS.
 

Kaka Jamaa kauliza swali, we Mjibu kulingana na swali lake na sio kutumia lugha mbaya huo sio uungwana.Asante kwakuelewa.
 
Danganya toto, wametolewa sadaka hao kuwanusuru watoto wa vigogo.
 
Sasa Mods mmeihamisha hii thread kwenda jukwaa la nafasi za kazi kivipi wakuu? kwa mtazamo wangu hili si suala la nafasi za kazi bali kauli ya mwanasiasa nguli juu ya kuwashughulikia watoto wa vigogo, nilidhani ni muhimu ikabaki jukwaa la siasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…