Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

Just Go on ninge penda tupate mrejesho ili iwe fundisho
 
Yes..hutaki ushaur..lakin umepost so let me giv my opinions and hop utasoma! Kwanza, je wewe ni mkamilifu saana??. Kama upo sure ur perfect basi na ukamuhukumu uyo mtu/binti. Siko sure sana na aina ya revenge unayotaka kufanya mayb ni kumdhalilisha yeye na familia yake..cjui.what what,etc lkn umeshajiuliza kuwa baada ya revenge utanufaika na nin?utapata faida gan?
Umeshawaza ni madhara kiasi gan utaweza kusababisha? Unaweza ukasababisha hata vifo kwa ndg hasa wazazi
.
Aisee..ur not a human i can say that. Mtu amekuchit..umegundua .mweleze ukwel achana nae.hayo unayopanga kufanya hayana maana and hutoishi maisha ya amani hata kidogo hata kama yeye ndo alikukosea..this for real am telling yu!
By the way..all the best!
Mijilipiza kisasi have no right to live
 
Hivi mkuu unajua hakuna ki2 kibaya kama umpendaye anachepuka tena anaenda kutoa "third eye( mku*****u)"? Simpi support jamaa akamlipize ila ulishakaaa ukatafakari halafu ww mwenyewe ukijicheki hauna tabia hizo za kuchepuka ?
 
Wee ndo wa ukweli sasa, ebwana big up aisee!!!@[HASHTAG]#hakunagaujinga[/HASHTAG]
 
Pole sana tuishi nao hivyohivyo
 
Siyo Mwanaume wewe. Cha mbechembe mingi sana za kike.


Kaa ukujua kuchapiwa ni siri ya ndani. Kisha ushaambiwa kumchunguza bata humli.


Kwa kifupi, ulichokitaka umekipata baada ya kupekua simu yake.

Huna kudu bloo
 
Kilio cha mapenz kinaenda sambamba na vyuma kukaza huku vyuma huku mapenz
 
Kivulana kamekutana na msichana.


Sijui mtakomaa lini akili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…