Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

Sio kwamba tunatamani kusikia mabaya lakini ulikataa kufuata ushauri hivyo uzi huu utatembelewa sana siku ya leo. Still si busara kufanya ulivyopanga kufanya. Unaweza kwenda kanisani # ukatubu hasira ikaisha ukaanza maisha mapya.
 
Kamnyooshe aisee asikuone fala mangi [emoji123]
 
Na bidada akijiua usisite kutuletea taarifa.
Kazi kwako sasa tunasubiri yatakayojiri na usiruhusu tukushauri hivyo hivyo.
 
AISEE KILICHOTOKEA JANA NI AIBU.HUYU JAMAA HAFAI KABISA,
DADA HADI LEO YUPO WODINI PRESHA JUU
 
Mkuu tarehe saba sindio leo? Sasa ukifika kwenye posa naomba unipm namba ya huyo mwanamke mshenzi nimkanye vitendo vyake vibaya.
 
Breaking news:

Binti kashtukia mchezo mchafu uliotaka kufanywa na "Mr Karma is a bitch"...

Hivyo "Mr Karma is a bitch"... kadhalilishwa yeye kunako tukio la mahari baada ya kujikuta kageuka kuwa mgeni mwalikwa badala ya kuwa mgeni muhimu...

Mnyetishaji mmoja aliyenidokeza huu ubuyu anaeleza kuwa, "Mr Karma is a bitch", akiwa hana hili wala lile alipofika eneo la tukio alikuta taratibu za wazazi wa binti kupokea posa toka kwa mwanaume mwingine zikiendelea huku tukio likiambatana na binti kuvishwa pete ya uchumba...
 
me ningeanza kusikiliza side b kwanza ....maana si ndio mchezo wake...??..
halafu ningemaliza na hilo la aibu ya familia...
nb:ila huyo demu wako kahaba anahuza,ulichelewa kumshtukia.....
 
Mkuu tarehe saba sindio leo? Sasa ukifika kwenye posa naomba unipm namba ya huyo mwanamke mshenzi nimkanye vitendo vyake vibaya.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji40] [emoji125] [emoji125]
 
Mkuu nakukumbusha tu Leo ndio tarehe 07 January...usisahau mrejesho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…