Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

Oooh. Yule jamaa mjita? Poleni sana...
 
Sitaki kuamini kuwa hii story ni tango mwitu. Au upo icu mkuu baada ya jana kuchezea mkong'oto heavy?
 
Usisahau pia kutupa mrejesho kilichojiri najua ni jana hiyo. Pole kaka tamaa zinatuponza tulio wengi
 
Kwa hiyo Jana Na wewe umemuumiza au? Tupe mrejesho basi!
 
Nimekaa kila muda naingia kwenye thread kujua mrejesho naona holaa
 
Tunaomba mrejesho ama umewahiwa na ww, atakuwa kasoma hapa halafu kakupiga chini hahahah
 
Hajaingia online since.... lazima kajitafakari kaona haina maana.
 
Hii thread mi naona bora ifutwe maana kila nikiifungua sioni mrejesho
Hadi roho inaniuma bora ht acngetuambia tusingejua [emoji19][emoji19][emoji19]
 
Nilichogundua ni kuwa wa2 wengi wanafrah kuona mwenzao anaumia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…