Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

haijakaa poa kabisa......ungemuacha tu usijempa adhabu kubwa kuliko.....usiwe na visasi kama Uncle naniliiii
 
mrejesho hamna mana kukaa n.a. donge tok dec mpk jan uyo tayari amejiuwa kidogokidogo na. pressure
 
Mkuu mrejesho imeendaje
 
Mambo ya VISASI hayana maana sana sana kujiwekea historia mbaya ndani ya moyo wako hivyo kutokua huru maishani mwako kuhofia na ww kulipizwa.
Hivyo ni bora KUSAMEHE najua hakuna mkamilifu so msahihishe na temana na hiyo kitu. Huyo binti kama hafai mteme sky is the limit...
UADUI wachie wasio na hofu ya Mungu wao kwao ni faraja ya moyo.
 
Mapenzi ya kibongo usiwekeze moyo wako utajuta, Wekeza nywele Na kucha hata vikikatika vitaota tena.
Tumia akili kuishi Na mwanamke usitumie moyo
Mbona hivyo lakiniii, sio vizuri ujue kubana
 
Umenena vyema, kama hamtaki bora amuache sio hivyo anavyotaka kufanya maana hata yeye ataonekana anamapungufu
 
leta rejesho we jamaa ambaye shetani anakujaga kuchukua ushauri kwako
 
sote tungekuwa hivi hawa kunguni wangekuwa naheshima sana. Sema kuna vibudu fulani wanaojifanya wao wanahisia sana, kucha kutwa kujilizaliza kisa mbunye. Baba kaumize tena umiza kweli man
 
Mkuu KOROE leo ni tar 10/01/2018 tupatie mrejesho wa kilichojiri huko ukweni.
 
Na bet hakika home kwa mrembo walipiga ramli na kuona mawazo ya kijana KOROE, na wakaamua kumtuma kwa Mola , aliye muumba wetu sote kabla kijana hajaharibu hali ya hewa ya familia ya Binti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…