Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

Katika watu niliowaamini alafu mwisho wa siku wakaja kuniangusha KOROE ww ni wa tatu..
Mimi nilijua duniani wanaume tubebaki 15 na wewe ukiwemo kimbe tupo 14 tu..

Mkuu umenidharirisha vya kutosha..ili kurudisha heshima yako hebu lete mrejesho fastaaa
 
Hahahah!
 
Hakunaga jipya duniani kakojoe ulale
 
KOREO sio vizuri ujue watu tumeganda tunasubiri mrejesho afu haurudi, au ulikua mkwara mbuzi? mwenye nia hatangazi
 
KOREO sio vizuri ujue watu tumeganda tunasubiri mrejesho afu haurudi, au ulikua mkwara mbuzi? mwenye nia hatangazi
ameumizwa na wakwe karibu apoteze uhai, ha. Hakuna mtu aliyejuu ya sheria na huwezi kutuhumu wewe na kutoa adhabu wewe. Ajaribu kufanya upuuzi wake huo aone
 
angekuwa anataka kukamilisha kweli angekuja kuandika baada ya tukio yani alipoandika tu mpango wake na yanayomsibu hasira zote zilishia apo.hakuna kilichotokea alishapoa
 
Tume save the date ad tunasahau sasa....vp ulienda kuuwa au ...umekubali mkeo aliwe 0713
 
Kama namjua huyo demu....si anakaa huku karibu na bahari
 
Hii inaonesha jinsi gan watu walivyo na roho mbaya
Yaan mlikuwa mnangojea2 mwezenu aumizwe au ajiue
Ni bora kagutukia
Sifungani ni huyo mwanamke ila si ustaarab kumfanyia hvyo mtu
Hasira ni zako usilazimishe kuumiza mtu ili upate faraja moyon mwako
 
Last seen ya huyu jamaa ni saa 8 usiku tarehe 7
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…