Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

Demu ana diploma unahaha nae unataka kuoa? Bure kabisa wewe.....anyway nipe namba yake kuna utafiti nafanya atakua wa msaada kwangu ukishambwaga hiyo trh 7
 
Dah, ukichapiwa lazima udate, na ukirudi na mrejesho natembea uchi dadeeeki
 
Jamaa atakuwa alikufa uyu au walikufa wote
 
Upo Dodoma, Ng'hong'hona???.... nakuona kwenye GPS.... ntakuja huko si muda mrefu nikutafute
 
Bro unajisumbua bure. utawakomesha wanawake wote dar es salaam na unakoelekea watakuendea hadi kwa waganga uwe chizi skiza mkuu sisi halali yetu kubadilisha ladha ila mpaka mwanamke kacheat jua humtimizii vitu vitatu aidha humpi fedha za kukidhi mahitaji yake... (me mpenzi wangu hawezi lalwa kwa elfu 70 hata siku moja na me nipo boss) haumpi attention ya kutosha au haukidhi mahitaji yake kitandani. kuna moja hapo utakuwa umefeli au labda we mkali sana haumsikiliza boss kwenye mapenzi hamna ubabe.. fuata hayo mambo matatu mkuu unaweza ukawalipizia kisasi wanawake Tanzania nzima kumbe shida iko kwako
 
Huyu jamaa inawezekana hayuko salama, tangu January 6 hayuko hewani na kisasi alifanya January 7
 
Kuanzia kesho naanza kupokea rambi rambi rasmi kwa ajili ya hayati KOROE
 
Ngoja ni unsubscribe huu uzi jamaa mwenyewe muoga tu kaogopa kufanya kweli..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…