Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua


This guy is so much in touch with his feminine side.!!!
 
Kwenye hii movie star kafia kwenye bustani ya maua kama movie za kihindi
 
Jamaa yuko busy kuandaa kamati mbalimbali za harusi, nguvu ya revenge ilizidiwa na nguvu ya mahaba ya dhati,
 
Lijamaa liliwaingiza cha kike...si ajabu hata demu hana!


Jf watu wamedata kinoma, mtu anajianzishia tuu uzi, ili mradi ndoto itimie, halafu watu mnamwagaa povuu[emoji36] [emoji36] [emoji36] [emoji36]
 
We jamaa ni noma..kama ulifanya kweli we ni kidume..tupe mrejesho kamanda
 
Lijamaa liliwaingiza cha kike...si ajabu hata demu hana!


Jf watu wamedata kinoma, mtu anajianzishia tuu uzi, ili mradi ndoto itimie, halafu watu mnamwagaa povuu[emoji36] [emoji36] [emoji36] [emoji36]
Umeona eeh!
 
Maumivu per day - Ali kiba.

Umesema haushauriki kama mtu fulani hivi pande za ziwa Victoria.

Usimfanyie binti wa watu, ni vibaya ni dhambi pia,

Cha kufanya mtoe out ya nguvu, mwambie najua unanisaliti lakini kumbuka ahadi yangu ila nakuacha salama nimekusamehe enenda zako ukawe na mahusiano na huyo jamaa, unamuonesha na meseji zao. Halafu unalipia bili unasepa.

Simple tu unajitutumuuuua ooh save the date oooh hatanisahau ya nn yote hayo, jifunze kusamehe hata mara 100.

" what's goes around always comes around "

[emoji4]
 
Duuuh...we sio mtu mzuri aisee, ni bora hata ungemuacha tu kiaina ila sio kwa mambo hayo, kumsamehe mtu ni jambo jema sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…