Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

ndo maana vijana wengi wanachelewa kuoa kama mwendo ndo huu lakn pole mkuu shetani huwa achezi mbali kwenye mafanikio ya mtu akuachi salama kabisa du wanawake bhna kweli sikio la kufa halisikii dawa pole sana mkuu
 
Hivi yule mwanakwaya aliyeuawa alikuwa na diploma? Maana najua muuaji alikuwa mfanyabiashara na ana safiri safiri... Kama ni hivo...duh..RIP
 
This guy is so much in touch with his feminine side.!!!
Si ndyo wewe ulisema mtu mwanaume unaanzaje kuoa, au kuwaza kuoa au demu anakwambia mambo ya kumuoa[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Asante kwa taarifa. Sasa huoni tar 22 itapita hatujapata mrejesho maana umemnunia. We waambie tar 20 unapeleka barua tujue nini kimetokea
 
nimekukubali sana mkuu,huu ndio uanaume
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…