Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

Safi sana, kwa lugha za kikwetu tunasemaga "umeiva afande"


Wanaume strong ndo tunafanyaga kihivi asa, sio ujingaujinga mwingine kuuendekeza kinangananga√√%%%

[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu jamaa alishamuoa yule demu wake alie liwa ziro alileta kibesi sana hapa na ngendembwe kibao ila alioa hahahahah

Unaanza kuacha demu white height mauzo na msambwanda wa haja *****

Alituchota hapa lakini mwaka Jana kavuta Niko

Shenz zake ana bahati

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu KOROE nakuona online hembu njoo utuambie kilichokusibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…