Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

Mbwembwe kibao afu nenda kazingue
 
Ingefaa zaidi kama ungeleta mrejesho ili tupate cha kujifunza nini maana ya Revenge!
 
Mkuu hakuna haja hiyo, ushauri wangu wewe muone Mshenga wako kisha mwambie kila kitu, then akaombe kikao na wazazi awaambie. Ukifanya tofauti unaenda kuwadhalilisha wazazi wake
 
Nitaleta, lolote litakalotokea liwe baya au zuri poa tu.. moyo wangu sio game eti ukikosea unarudia, moyo wangu ni wa damu unaumia

Mkuu upo na baraka zangu lakini pia naona kama hyo ni adhabu ndogo
 
Mkuu upo na baraka zangu lakini pia naona kama hyo ni adhabu ndogo
Kama ana maumivu anamla ile ya hasira kama wako vitan side a b zote alaf akishamaliaz ndo akafanye iyo mambo dem akifikiria alivyo liwa liwa hovyo n bado uchafu mpk wazaz wajue [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91] hatakusahau
 
.
We Ni boya fresh. Huna hell halafu unataka mademu wazuri. Haipo hiyo
 
Mrejesho mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…