Malipo ni hapa hapa Duniani naona unasifiwa sana kwa maamuzi yako ya kijinga.
Wewe ni mkamilifu sana usiekosea? Wewe toka umekua umekua faithfull hadi leo? Haukosei watu?
Hukumu na Malipizi ni ya Bwana. Utakumbuka siku moja ujumbe huu..
Hakuna aliyejitosheleza na Hakuna asiyekosea ndio maana ya neno Binadamu.
Asiyekosea ni Mungu tu.
MrejeshoKwa ufupi hii ni taarifa tu, so ushauri wako hautabadili chochote wala kuongeza chochote, vipi lakin uzima upo??
Ni hivi, mi huwa siumizwi alafu anayeniumiza akabaki salama, nikiumizwa mi nakuumiza mara 10 alafu fresh, maisha yenyewe mafupi haya, mi niwe na stress alafu wew ucheke ili kiwe nini... sipendagi ubwege kabisa, na nitabaki kwenye kumbukumbu zako milele ukijifanya kuniletea habari za ajabu..
Miez 8 iliyopita nilidate na dada mmoja hivi mrembo, height moja hivi mauzo sana na mzigo wa kuvuta huko nyuma haukuwa haba, kifupi mvuto wa yule dem hauna shaka, kama ni maksi basi A ya 95+... mapema nikamwambia mambo ya kiboya sitaki, km utacheat jitahidi nisijue, nikijua umeumia....Akajifanya hadi kulia pale kwamba ananilove nyang'anyang'a na kamwe hakuna mwanaume kama mimi, nikasema poa but take my words ukinizingua hutoamini nitakachokufany, na km hunitaki niache uende, na kama pia itakuw mechi za dharula tu alafu kimya tuambiane, moyo wangu hauchezewi.. akasema nisiwe na shaka ananipenda, nikasema poa.
Tabia yangu ni kwamba kamwe siwezi kuwa na mpenzi zaid ya mmoja kwa wakati mmoja, so nikiwa na mmoja huyo huyo. Sasa mwezi mmoja nyuma nikausoma mchezo dizain kama demu wangu analiwa hivi, sikumuuliza, nikakomaa hadi nikapata password zake facebook na insta.. nikazama inbox yake, daah ni balaa tupu, ashapigwa mashine na mshikaji mmoja hivi, then jamaa dizain kama anakomaa naye amle 0715 hiv sema demu anabana.. text yake hii hapa..
"Baby naridhika sana nawew, ila unanibania side B, nyimbo za side A zote nimeskiliza why uninyime za side B mpenz?, kama side A nilsikilza kwa elfu 70 bas side B lazma dau lipande.. nielewe bas"
Demu akajibu..
"Mi nina mtu na tuna malengo je akigundua na kuniacha itakuwaje"
Jamaa..
"Hawezi gundua, kwani huwa anakagua huko, ila navyokujua huwez nibania.. nitakutoa out ukafanye shopping ya maana, na nitakutumia 100,000 kesho"
Demu...
"Mmh poa tutaangalia tukikutana tar.22 jamaa akiondoka kama tulivyopanga".
Zipo nyingi nying but hizo kiufupi,....
Mimi kwa huyu demu..., nampa nachopata, najinyima sana apate yeye, nishamtoa shopping za maana mara kibao na tayari nishaandaa pesa nzuri tu kwa ajili yake, Krismass na mwaka mpya, maana tar.hizo sitakuwepo kutokana na majukum ya kazi yangu, nammudu kiujumla, nguo, usafiri, pesa ya kula, malazi nafanya mimi.. yeye hana chochote zaid ya gamba lake la diploma. Muda wote huo sina demu zaid yake.. na on bed naperfom fresh hadi anaomba poo yeye..
Nilichokifanya baada ya kugundua hilo, nimescreenshot charting zote hadi picha walizopiga wakiwa lodge wametumiana kupitia fb messenger nimejitumia kwenye simu yangu, then nimeuchuna.. kifupi tayari nimeshampiga chini ila siwez kumwambia tuachane kiboya boya hiv bila yeye kuonja joto la jiwe kidogo, na kamwe sitafanya naye mapenz tena.. ambacho kimebaki kwake ni kumpa kidonda cha milele..
Ifahamike ananipenda japo tamaa anazo, ashanitambulisha kwa rafiki zake wote, dada yake, hadi mama yake.. kifupi anaitwa mrs mimi... na uchafu anaoufanya ni siri kubwa sana na ndo maana anatumia fb messenger maana anajua siwez hisi chochote huko.. tayari tarehe ya kupeleka barua ishapangwa, tarehe 07 jan... mashangazi zake wote wanajiandaa kwa tukio hilo.. upande wetu pia tunajiandaa..
Nataka nifanye nini?? Siku hiyo ya tukio la kwenda kwao kujitambulisha rasmi ndo siku yangu ya kumuumiza, maana kwao anaaminika sana, anaimba kwaya kanisan, ana vyeo vingi ving vya huko kanisani.. na huwezi mzania hata kidogo kama ni mshenzi.. siku hiyo mbele ya Mchungaji wake, ndugu zake, mama ake, mashangazi na marafiki zake wakiwa na smartphone zao naenda umiza mtu vibaya sana, sio kwamba nitampiga hapana, ila nataka nimafanyie tukio ambalo litaweka maumivu ya kudumu kwenye moyo wake na kamwe hatokuja nisahau..
Tarehe 7 january, save the date....
USIPOTEZE MUDA KUNISHAURI CHOCHOTE, HUWA NIKIPANGA SIPANGUI..
Nipo tayari hata kunyongwa km nimefanya kosa la kustahili kunyongwa na nakuhakikishia sitajitetea, nishapoteza pesa zaid ya million 80 kwa kosa langu dogo sana, nipo accountable kwa makosa yangu. So km kuna siku ikitokea nimekosea nipo tayari kwa adhabu yoyote ninayostahili.Malipo ni hapa hapa Duniani naona unasifiwa sana kwa maamuzi yako ya kijinga.
Wewe ni mkamilifu sana usiekosea? Wewe toka umekua umekua faithfull hadi leo? Haukosei watu?
Hukumu na Malipizi ni ya Bwana. Utakumbuka siku moja ujumbe huu..
Hakuna aliyejitosheleza na Hakuna asiyekosea ndio maana ya neno Binadamu.
Asiyekosea ni Mungu tu.
Inategemeana na kosa lenyeweAkikosea na yeye atahukumiwa...
Tusiwahukumu wanaokosea sababu na sisi tunakosea?
Ni kweli, joto lilikuwa kali sana so nikaona nitulie kwanza ili hali ikiwa shwari nirud. Maana ilizua balaa zito.Duh mbona Kama Uzi Ni wa 2017?? Alafu mrejesho umeletwa Jana?
nyuzi kama hizi nazikubali sanaaaa Kumbe wenye maamuz magumu tupo wengi na sio mimi tu[emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732] Shusha nyuzi mkuu tuonjoyTUENDELEE...
Baada ya binti kufika kwa wazazi wangu, akajieleza jinsi anavyopata shida na hawezi kuishi bila mimi, jinsi malengo yake yalivyokufa na maisha yake yalivyobadilika. Mzee akanipigia simu na kunieleza ujio wa yule binti pale nyumbani, nikamwambia ampeleke polisi arudi kwao sina muda wa kupoteza kuongelea kitu ambacho jibu lake linajulikana.
Mzee na Bi mkubwa wakaniomba sana niende pale home tukaongee, kwa heshima ninayowapa wazazi wangu ikabidi niende, mzee akawasiliana na wazazi wa binti kuwapa taarifa kwamba binti yao yupo pale, mama wa binti akajipanga kuja kumuona bint yake, baada ya siku 2 nikaenda hom, nikakuta mama wa binti yupo pia, baada ya kufika binti akaanza kuangua kilio akisistiza asemehewe, akaomba km itashindikana kbs basi aishi namim km mfanyakazi wangu hata wa ndani, alikuwa anaongea upuuzi.
Tukawa na kikao kifupi, nikaongea wazi kwamba ukurasa wa yule binti nimeufunga, hana nafasi tena kwangu kwahiyo mama amchukue mwanae arudi naye kwao, akaolewe na wengine huko ila kamwe haiwezi kuwa mimi, hapakuwa na jinsi zaidi ya kukubaliana na msimamo wangu, mama yake akaomba basi niwe angalau naongea na binti yake japo awe ananiskia, nikaona ni ujinga wa hali ya juu mimi kufanya hivyo, nikakataa kufanya huo upuuzi.
Kwa shida shida binti ikabidi aondoke na mama yake kurudi kwao, lakin bado hakua na amani, wakat anaondoka pale alijua nipo Tanga na nafanya kazi na taasisi gani. Alipofika kwao bado hakuwa na utulivu wakat wote alikuwa analia na alipoteza hamu ya kula, akazidi kukonda, habari ile ilikuwa pia imeenea kwahiyo aibu nayo ikawa inamtesa, nikarudi zangu Tanga kuendelea na majukumu mengine.
Mzazi wa yule binti aliongea na mzee akapata namba yangu ya simu akawa ananipigia na kuniomba sana nimsamehe mwanawe maana maisha ya binti yake yamebadilika na yeye km mama anajiskia vibaya sana, akaomba niseme hata kiasi cha pesa ili akilipe km fidia ya ufusika wa binti yake, nikakataa. Akawa ananipigia simu mara kwa mara na ananisistiza kwamba amefanya kila kitu kuhus binti yake lakn hakuna improvement na hakuna namna ya binti yake kuwa sawa zaidi ya mimi kuwa naye karibu.
Nikawa naona ananipigia kelele, sirudigi nyuma, maisha yakaendelea. Nikiwa Tanga naendelea na majukumu yangu nikapigiwa simu na baba wa binti, akaniomba niseme nilipo ili aje tuongee ana kwa ana km wanaume, nikakataa, nikamwambia aongee kwa simu tu tena dk chache, akaniomba kiume kwamba habari za kumuoa binti yake najua haiwezekani tena lakin wao km wazazi wananiomba niwasaidie kt kumfanya yule binti awe sawa, maana wao wamefany kila kitu lakn imekuwa ngumu kwa binti kuwa sawa, nikaona upuuzi, hainihusu chochote. Nikamkatalia.
Ikapita miezi km 3 hv nikiwa tu napokea msg mara kwa mara kutoka kwa wazazi wa binti, nikawa sizijibu. Baadaye nikaoata mapumziko ya kama wiki 2 hivi nikarudi dsm kupumzika. Wiki ya kwanza ikaisha vizuri ila wiki ya 2 ya mapumziko nikapata ugeni pale hom kwangu, ni aliyekuwa rafiki wa karibu na binti, alisema alikuwa anakuja mara kwa mara pale hom kunibahatisha maana hata namba za simu zilikuwa hazipatikani so safari hii ameshukuru kunikuta, akaomba tuongee, nikamwambia poa.
Kwa kuwa nilitoka muda mrefu sana hom, nyumba ilikuwa chafu sana, akafanya usafi akapika, tukiwa tunakula mazungumzo yakaanza...
ITAENDELEA..
Kwahiyo Mungu aache kumlipua binti mzinzi aje kumlipua bahati wa watu aliyepanda kweli?Malipo ni hapa hapa Duniani naona unasifiwa sana kwa maamuzi yako ya kijinga.
Wewe ni mkamilifu sana usiekosea? Wewe toka umekua umekua faithfull hadi leo? Haukosei watu?
Hukumu na Malipizi ni ya Bwana. Utakumbuka siku moja ujumbe huu..
Hakuna aliyejitosheleza na Hakuna asiyekosea ndio maana ya neno Binadamu.
Asiyekosea ni Mungu tu.
Just wondering km Mwenyenzi Mungu angekua mgumu kutusamehe km ww unavyotia ugumu ingekuaje?TUENDELEE...
Baada ya binti kufika kwa wazazi wangu, akajieleza jinsi anavyopata shida na hawezi kuishi bila mimi, jinsi malengo yake yalivyokufa na maisha yake yalivyobadilika. Mzee akanipigia simu na kunieleza ujio wa yule binti pale nyumbani, nikamwambia ampeleke polisi arudi kwao sina muda wa kupoteza kuongelea kitu ambacho jibu lake linajulikana.
Mzee na Bi mkubwa wakaniomba sana niende pale home tukaongee, kwa heshima ninayowapa wazazi wangu ikabidi niende, mzee akawasiliana na wazazi wa binti kuwapa taarifa kwamba binti yao yupo pale, mama wa binti akajipanga kuja kumuona bint yake, baada ya siku 2 nikaenda hom, nikakuta mama wa binti yupo pia, baada ya kufika binti akaanza kuangua kilio akisistiza asemehewe, akaomba km itashindikana kbs basi aishi namim km mfanyakazi wangu hata wa ndani, alikuwa anaongea upuuzi.
Tukawa na kikao kifupi, nikaongea wazi kwamba ukurasa wa yule binti nimeufunga, hana nafasi tena kwangu kwahiyo mama amchukue mwanae arudi naye kwao, akaolewe na wengine huko ila kamwe haiwezi kuwa mimi, hapakuwa na jinsi zaidi ya kukubaliana na msimamo wangu, mama yake akaomba basi niwe angalau naongea na binti yake japo awe ananiskia, nikaona ni ujinga wa hali ya juu mimi kufanya hivyo, nikakataa kufanya huo upuuzi.
Kwa shida shida binti ikabidi aondoke na mama yake kurudi kwao, lakin bado hakua na amani, wakat anaondoka pale alijua nipo Tanga na nafanya kazi na taasisi gani. Alipofika kwao bado hakuwa na utulivu wakat wote alikuwa analia na alipoteza hamu ya kula, akazidi kukonda, habari ile ilikuwa pia imeenea kwahiyo aibu nayo ikawa inamtesa, nikarudi zangu Tanga kuendelea na majukumu mengine.
Mzazi wa yule binti aliongea na mzee akapata namba yangu ya simu akawa ananipigia na kuniomba sana nimsamehe mwanawe maana maisha ya binti yake yamebadilika na yeye km mama anajiskia vibaya sana, akaomba niseme hata kiasi cha pesa ili akilipe km fidia ya ufusika wa binti yake, nikakataa. Akawa ananipigia simu mara kwa mara na ananisistiza kwamba amefanya kila kitu kuhus binti yake lakn hakuna improvement na hakuna namna ya binti yake kuwa sawa zaidi ya mimi kuwa naye karibu.
Nikawa naona ananipigia kelele, sirudigi nyuma, maisha yakaendelea. Nikiwa Tanga naendelea na majukumu yangu nikapigiwa simu na baba wa binti, akaniomba niseme nilipo ili aje tuongee ana kwa ana km wanaume, nikakataa, nikamwambia aongee kwa simu tu tena dk chache, akaniomba kiume kwamba habari za kumuoa binti yake najua haiwezekani tena lakin wao km wazazi wananiomba niwasaidie kt kumfanya yule binti awe sawa, maana wao wamefany kila kitu lakn imekuwa ngumu kwa binti kuwa sawa, nikaona upuuzi, hainihusu chochote. Nikamkatalia.
Ikapita miezi km 3 hv nikiwa tu napokea msg mara kwa mara kutoka kwa wazazi wa binti, nikawa sizijibu. Baadaye nikaoata mapumziko ya kama wiki 2 hivi nikarudi dsm kupumzika. Wiki ya kwanza ikaisha vizuri ila wiki ya 2 ya mapumziko nikapata ugeni pale hom kwangu, ni aliyekuwa rafiki wa karibu na binti, alisema alikuwa anakuja mara kwa mara pale hom kunibahatisha maana hata namba za simu zilikuwa hazipatikani so safari hii ameshukuru kunikuta, akaomba tuongee, nikamwambia poa.
Kwa kuwa nilitoka muda mrefu sana hom, nyumba ilikuwa chafu sana, akafanya usafi akapika, tukiwa tunakula mazungumzo yakaanza...
ITAENDELEA..
Hoyaa hii ITAENDELEA ndio nini?TUENDELEE...
Baada ya binti kufika kwa wazazi wangu, akajieleza jinsi anavyopata shida na hawezi kuishi bila mimi, jinsi malengo yake yalivyokufa na maisha yake yalivyobadilika. Mzee akanipigia simu na kunieleza ujio wa yule binti pale nyumbani, nikamwambia ampeleke polisi arudi kwao sina muda wa kupoteza kuongelea kitu ambacho jibu lake linajulikana.
Mzee na Bi mkubwa wakaniomba sana niende pale home tukaongee, kwa heshima ninayowapa wazazi wangu ikabidi niende, mzee akawasiliana na wazazi wa binti kuwapa taarifa kwamba binti yao yupo pale, mama wa binti akajipanga kuja kumuona bint yake, baada ya siku 2 nikaenda hom, nikakuta mama wa binti yupo pia, baada ya kufika binti akaanza kuangua kilio akisistiza asemehewe, akaomba km itashindikana kbs basi aishi namim km mfanyakazi wangu hata wa ndani, alikuwa anaongea upuuzi.
Tukawa na kikao kifupi, nikaongea wazi kwamba ukurasa wa yule binti nimeufunga, hana nafasi tena kwangu kwahiyo mama amchukue mwanae arudi naye kwao, akaolewe na wengine huko ila kamwe haiwezi kuwa mimi, hapakuwa na jinsi zaidi ya kukubaliana na msimamo wangu, mama yake akaomba basi niwe angalau naongea na binti yake japo awe ananiskia, nikaona ni ujinga wa hali ya juu mimi kufanya hivyo, nikakataa kufanya huo upuuzi.
Kwa shida shida binti ikabidi aondoke na mama yake kurudi kwao, lakin bado hakua na amani, wakat anaondoka pale alijua nipo Tanga na nafanya kazi na taasisi gani. Alipofika kwao bado hakuwa na utulivu wakat wote alikuwa analia na alipoteza hamu ya kula, akazidi kukonda, habari ile ilikuwa pia imeenea kwahiyo aibu nayo ikawa inamtesa, nikarudi zangu Tanga kuendelea na majukumu mengine.
Mzazi wa yule binti aliongea na mzee akapata namba yangu ya simu akawa ananipigia na kuniomba sana nimsamehe mwanawe maana maisha ya binti yake yamebadilika na yeye km mama anajiskia vibaya sana, akaomba niseme hata kiasi cha pesa ili akilipe km fidia ya ufusika wa binti yake, nikakataa. Akawa ananipigia simu mara kwa mara na ananisistiza kwamba amefanya kila kitu kuhus binti yake lakn hakuna improvement na hakuna namna ya binti yake kuwa sawa zaidi ya mimi kuwa naye karibu.
Nikawa naona ananipigia kelele, sirudigi nyuma, maisha yakaendelea. Nikiwa Tanga naendelea na majukumu yangu nikapigiwa simu na baba wa binti, akaniomba niseme nilipo ili aje tuongee ana kwa ana km wanaume, nikakataa, nikamwambia aongee kwa simu tu tena dk chache, akaniomba kiume kwamba habari za kumuoa binti yake najua haiwezekani tena lakin wao km wazazi wananiomba niwasaidie kt kumfanya yule binti awe sawa, maana wao wamefany kila kitu lakn imekuwa ngumu kwa binti kuwa sawa, nikaona upuuzi, hainihusu chochote. Nikamkatalia.
Ikapita miezi km 3 hv nikiwa tu napokea msg mara kwa mara kutoka kwa wazazi wa binti, nikawa sizijibu. Baadaye nikaoata mapumziko ya kama wiki 2 hivi nikarudi dsm kupumzika. Wiki ya kwanza ikaisha vizuri ila wiki ya 2 ya mapumziko nikapata ugeni pale hom kwangu, ni aliyekuwa rafiki wa karibu na binti, alisema alikuwa anakuja mara kwa mara pale hom kunibahatisha maana hata namba za simu zilikuwa hazipatikani so safari hii ameshukuru kunikuta, akaomba tuongee, nikamwambia poa.
Kwa kuwa nilitoka muda mrefu sana hom, nyumba ilikuwa chafu sana, akafanya usafi akapika, tukiwa tunakula mazungumzo yakaanza...
ITAENDELEA..
Wakati dada anatoa Tigo HAKUJUA kuwa anamuumiza baharia anayemuhudumia kwa kila kitu?Just wondering km Mwenyenzi Mungu angekua mgumu kutusamehe km ww unavyotia ugumu ingekuaje?
Una moyo Mgumu like you have never sin, and sad enough you are proud of it.
Hii sio revenge anymore huu sasa ni ukatili.
Mkipendwa TULIENI.