(Revised Edition 2010)

super j4

Member
Joined
Mar 10, 2011
Posts
11
Reaction score
1
iwapendeze ndg zangu, umekuwepo mkanganyiko kuhusu sheria zilizofanyiwa marekebisho 2010 kama zimeshaanza kutumika? kama kuna mtu ana ushaidi kuwa zimeshaanza kutumika anisaidie juu ya hilo.
 
binafsi sijaiona. nilikuwa nafikiri bado tunatumia revised edition ya 2002, hata kama kuna vitabu vingine ni revised edition 2009 lakini inayokubalika sana ni hiyo ya 2002. sheria nyingine ambazo zimefanyiwa marekebisho tunazo virakaviraka tu unakuwa nazo separate. kama kuna mtu ameiona hiyo revised edition 2010 nafikiri itatusaidia wengi. nami ningependa kuipata.
 

sheria ya watoto ni r.e 2009
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…