URASSA THE DON Member Joined Oct 12, 2010 Posts 70 Reaction score 7 Sep 4, 2012 #1 Ebwana anayefahamu most of the question yanayoulizwa na hawa jamaa rex solaar enegy anijuze tafadhali. Thanks for ur time and consideration
Ebwana anayefahamu most of the question yanayoulizwa na hawa jamaa rex solaar enegy anijuze tafadhali. Thanks for ur time and consideration
M manushiboy Member Joined Aug 3, 2011 Posts 34 Reaction score 9 Sep 4, 2012 #2 ndugu vipi waliwajulisha lini kuhusu hiyo interview?
Toria JF-Expert Member Joined Aug 1, 2012 Posts 1,177 Reaction score 699 Sep 4, 2012 #3 URASSA THE DON said: Ebwana anayefahamu most of the question yanayoulizwa na hawa jamaa rex solaar enegy anijuze tafadhali. Thanks for ur time and consideration Click to expand... Duuuuuh ndo mshaitwa jaman?wengine cv zetu ziliachwa kwny box adres ama vp?kila la heri ww uliyebahatika
URASSA THE DON said: Ebwana anayefahamu most of the question yanayoulizwa na hawa jamaa rex solaar enegy anijuze tafadhali. Thanks for ur time and consideration Click to expand... Duuuuuh ndo mshaitwa jaman?wengine cv zetu ziliachwa kwny box adres ama vp?kila la heri ww uliyebahatika
Ruge Opinion JF-Expert Member Joined Mar 22, 2006 Posts 1,838 Reaction score 705 Sep 4, 2012 #4 manushiboy said: ndugu vipi waliwajulisha lini kuhusu hiyo interview? Click to expand... Hata interview unahitaji desa? Kweli mazoea yana taabu.
manushiboy said: ndugu vipi waliwajulisha lini kuhusu hiyo interview? Click to expand... Hata interview unahitaji desa? Kweli mazoea yana taabu.
U Ubungo JF-Expert Member Joined Apr 7, 2012 Posts 1,282 Reaction score 322 Sep 4, 2012 #5 Tafuta profile yao ili uwe na basic informations za hiyo taasisi, pamoja na mambo ya kazi unayoomba. Kila la heri.
Tafuta profile yao ili uwe na basic informations za hiyo taasisi, pamoja na mambo ya kazi unayoomba. Kila la heri.
Tungaraza Jr Senior Member Joined Feb 3, 2012 Posts 196 Reaction score 48 Sep 5, 2012 #6 ubungo said: Tafuta profile yao ili uwe na basic informations za hiyo taasisi, pamoja na mambo ya kazi unayoomba. Kila la heri. Click to expand... Huu mfumo wa kitambo sana, modern hua ni kupiga story just to knw how u can interact hasa baada ya kuona vyeti vyako. Maswali ya kawaida na hua nikatikati ya magungumzo.
ubungo said: Tafuta profile yao ili uwe na basic informations za hiyo taasisi, pamoja na mambo ya kazi unayoomba. Kila la heri. Click to expand... Huu mfumo wa kitambo sana, modern hua ni kupiga story just to knw how u can interact hasa baada ya kuona vyeti vyako. Maswali ya kawaida na hua nikatikati ya magungumzo.