Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 11,478
- 3,659
Yaani haujatosheka na akaunti niliyokufungulia CREDIT SUISSE BANKKama bahati wacha nijaribu maana nimetoka kupewa talaka masaa machache yaliyopita
hebu tueleze ukoje na bank statement inasemaje una account Swiss?? maana bongo kuna noti feki mpk benki
Yaani haujatosheka na akaunti niliyokufungulia CREDIT SUISSE BANK
Dena Amsi sijuzi umeopoa humu??au Dini ina,uruhusu kuolewa na wanaume wa nne??Kigezo cha miaka kimenishinda huwezi legeza kidogo ukaweka angalau 25-35?
Umemwaga hadi kilonga!!Haujasema wewe ukoje wajii wako ukoje,pia haujasema unataka mwanamke wa wajii gani miaka sikigezo!Wewe naona unataka kugonga tu haupo siriasi haya madada zangu wa JF tenda ndiyo hiyo wahini!!!Vilio hatutaki!Ladies, iam looking for lifetime relationship. Iam looking for a young christian beautiful lady 25-28. I know all jf members are educated. Just send a msg to 0789704001 and i will find them there. No longolongo
Umemwaga hadi kilonga!!Haujasema wewe ukoje wajii wako ukoje,pia haujasema unataka mwanamke wa wajii gani miaka sikigezo!Wewe naona unataka kugonga tu haupo siriasi haya madada zangu wa JF tenda ndiyo hiyo wahini!!!Vilio hatutaki!Ladies, iam looking for lifetime relationship. Iam looking for a young christian beautiful lady 25-28. I know all jf members are educated. Just send a msg to 0789704001 and i will find them there. No longolongo
Umerudi mama? Habari ya tanganyika masagati! Umeniletea zawadi yangu ya ndezi?Kigezo cha miaka kimenishinda huwezi legeza kidogo ukaweka angalau 25-35?
Ladies, iam looking for lifetime relationship. Iam looking for a young christian beautiful lady 25-28. I know all jf members are educated. Just send a msg to 0789704001 and i will find them there. No longolongo
Mshiki FP katoa kilongalonga chake hebu mwendee hewani PM michosho tu kwake!Kama wewe ni mweusi ni PM.
Kama bahati wacha nijaribu maana nimetoka kupewa talaka masaa machache yaliyopita
hebu tueleze ukoje na bank statement inasemaje una account Swiss?? maana bongo kuna noti feki mpk benki
Mshiki FP katoa kilongalonga chake hebu mwendee hewani PM michosho tu kwake!
Kama wewe ni mweusi ni PM.
Msasha aanze yeye bwana, asijeakaanza ooh, ulinipigia wewe sijui nini na nini!!
Nakuona comrade unaconect them dots! Vunja ukimya...!Mh...!!! ???
Nakuona comrade unaconect them dots! Vunja ukimya...!
kegezo cha miaka nafiti lkn nna ntu, je nakubalika?