RF anahitaji mwenza

Voice... what makes u so sad, man. There are things that are kept public while others are kept in private

yaani ushapata lakini bado unakusanya CV nyingine ??, Sasa sisi wengine tutafanya nini?, Mzee mmoja anatosha bwana ukishapata tuambie ili watu waache kutuma CV
 
yaani ushapata lakini bado unakusanya CV nyingine ??, Sasa sisi wengine tutafanya nini?, Mzee mmoja anatosha bwana ukishapata tuambie ili watu waache kutuma CV

Mmmmmh!!! Voice wakikusikia wale wanaojua kusoma katikati ya mstari utajua mwenyewe!!
 
Mmmmmh!!! Voice wakikusikia wale wanaojua kusoma katikati ya mstari utajua mwenyewe!!
Mimi what you see is what you get.., hakuna maana ndani ya maana ujuzi huo sina..
 
Umeona eeh!! Ndo yanaanzaga hivi haya mambo. Karibu bomb moja limebaki hapa!!

Hayo ndio maneno hata kwenye shida.. ni kushare tu.., Mkiwa wawili mkashare shida mnaigawana haiwi nzito kama ambavyo ukiwa peke yako.
 
mwezi huu naona ni wa malevedave tuuu....watu mmmekazana kutafuta wenza...haya kila la kheri!:coffee:
 
mwezi huu naona ni wa malevedave tuuu....watu mmmekazana kutafuta wenza...haya kila la kheri!:coffee:

Kweli kabisaaaaaaaaaaa!!!! And Sharing is Caring!!!!
 
yaani ushapata lakini bado unakusanya CV nyingine ??, Sasa sisi wengine tutafanya nini?, Mzee mmoja anatosha bwana ukishapata tuambie ili watu waache kutuma CV
umeninukuu vibaya mkuu. Yaani usiamini kila unachosoma. Vingine ni kujifurahisha tu, lakini yawezekana anayejifurahisha anataka assurance ndipo ajitoe. Hope bado hujanipata vya kutosha
 
Inabidi uende tuition Voice, ujue kusoma katikati ya mstari!!

Tatizo la kusoma katikati ya mistari unaweza kusoma ambayo sio... Lakini huwa sikatae elimu, ni nani wa kunifundisha
 
umeninukuu vibaya mkuu. Yaani usiamini kila unachosoma. Vingine ni kujifurahisha tu, lakini yawezekana anayejifurahisha anataka assurance ndipo ajitoe. Hope bado hujanipata vya kutosha
Duhh Mkuu Nadhani nimekupata..., lakini we are making life so complicated.. kwahiyo when can we tell unajifurahisha na when can we tell upo serious..? mfano hapa mimi nipo serious au ninajifurahisha...
 
Duhh Mkuu Nadhani nimekupata..., lakini we are making life so complicated.. kwahiyo when can we tell unajifurahisha na when can we tell upo serious..? mfano hapa mimi nipo serious au ninajifurahisha...

Mfano mzuri ni mimi hapa yani hapa najifurahisha, sipo siriazi hata kidogo!! Wala sifikirii ninapoandika ilimradi najua sio tusi, situmii akili hapaa kabisa, Lakini ukinikuta niko siriaz, hadi keyboad inaomba msamaha, buttons za simu zinajishikiza mahali kabisa. Umenielewa tuition kidogo hiyo!!
 
Ladies, iam looking for lifetime relationship. Iam looking for a young christian beautiful lady 25-28. I know all jf members are educated. Just send a msg to 0789704001 and i will find them there. No longolongo

Itakapo fika zamu yangu ya kutangaza nia watu watasema nadanganya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…