Kwa wale wabishi na wanaotaka kuelewa zaidi wasome ufunuo 13:1-18 kisha tukutane [HASHTAG]#sittaplus[/HASHTAG]
gmail.com
Hii ni kwa mwenye Nia tu ya kutaka kujua utimilifu Wa unabii kuhusu Siku za mwisho pia nakaribisha maswali yote kuhusu unabii Wa Siku za mwisho na pia kuhusu mtandao unaotawala sayari hii kwa kutumia akili nyingi mno ili Kubaini na ww lazima jasho likutoke bila hivo utaishia kusema ni kukua na kupanuka kwa elimu ya sayansi na teknolojia tu hutajua kilicho nyuma ya pazia kwa maana hakuna kazi ya ibisi isyopendwa na wanadamu na kuwavutia zote ni nzuri sana kwakua shetani ni baba Wa uongo na hivo hutumia ukweli Wa 99% na uongo Wa 1% tu ndo maana nasema mpaka ubaini uongo huu lazima usote kweli
So,kwa maswalo yote Tumia email Hyo hapo juu tupo kwaajiri ya kueleweshana tutakujibu kutokana na ulivouliza.