Marire
JF-Expert Member
- May 1, 2012
- 12,333
- 5,292
Heshima kwenu wakuu.
nimetoka kumdhamini jamaa yangu mkopo bank tajwa.
Hii riba haikubaliki Tanzania amekopa 5m rejesho 565,000 kwa mwezi mara miezi 12 .
Najiuliza bank kuu ya Tanzania haina viwango standard kwa mabank kabla ya kuwapa vibali?na je mbona Eura wameweza kukontrol bei ya nauli na mafuta? Bank kuu wanashidwa nini?
_Huyu kijana mwenzetu Naibu waziri wa fedha mwenye shahada ya uchumi daraja "A" hawezi kutusadia riba za mabank zishuke?
_ Naomba tujadili hili swala
nimetoka kumdhamini jamaa yangu mkopo bank tajwa.
Hii riba haikubaliki Tanzania amekopa 5m rejesho 565,000 kwa mwezi mara miezi 12 .
Najiuliza bank kuu ya Tanzania haina viwango standard kwa mabank kabla ya kuwapa vibali?na je mbona Eura wameweza kukontrol bei ya nauli na mafuta? Bank kuu wanashidwa nini?
_Huyu kijana mwenzetu Naibu waziri wa fedha mwenye shahada ya uchumi daraja "A" hawezi kutusadia riba za mabank zishuke?
_ Naomba tujadili hili swala
