Heshima kwenu wakuu.
nimetoka kumdhamini jamaa yangu mkopo bank tajwa.
Hii riba haikubaliki Tanzania amekopa 5m rejesho 565,000 kwa mwezi mara miezi 12 .
Najiuliza bank kuu ya Tanzania haina viwango standard kwa mabank kabla ya kuwapa vibali?na je mbona Eura wameweza kukontrol bei ya nauli na mafuta? Bank kuu wanashidwa nini?
_Huyu kijana mwenzetu Naibu waziri wa fedha mwenye shahada ya uchumi daraja "A" hawezi kutusadia riba za mabank zishuke?
_ Naomba tujadili hili swala
Mkuu angalia Access Bank wasikuhold responsible kwa defamation. Check numbers zako vizuri kwani heading inasema riba ni 60% wakati tarakimu ulizotoa kwenye content zinapingana na hilo.
kwanza euwura hawajaweza control bei ya mafuta na naulu maana tangu vitu hivyo viwili vipande garama sijawahi sikiaa vikapunguaaaa garamaHeshima kwenu wakuu.
nimetoka kumdhamini jamaa yangu mkopo bank tajwa.
Hii riba haikubaliki Tanzania amekopa 5m rejesho 565,000 kwa mwezi mara miezi 12 .
Najiuliza bank kuu ya Tanzania haina viwango standard kwa mabank kabla ya kuwapa vibali?na je mbona Eura wameweza kukontrol bei ya nauli na mafuta? Bank kuu wanashidwa nini?
_Huyu kijana mwenzetu Naibu waziri wa fedha mwenye shahada ya uchumi daraja "A" hawezi kutusadia riba za mabank zishuke?
_ Naomba tujadili hili swala
wakuu mbona hakuna aliyechangia kuhusiana na mada yangu? comments zenu ziko out of topic
mkuu ni 5%kwa mwezi ina maana kwa mwaka ni 60% majanga!
mkuu ni 5%kwa mwezi ina maana kwa mwaka ni 60% majanga!
Sisi tunatoza aslimia 20 monthly.
TATIZO HAPA NI SHULE YA KI-FINANCE, NI KWELI 60% kwa mwaka, pia ni kweli 5 % kwa mwezi, PIA NI KWELI 35.6% YOTE NI MAJIBU SAHIHI TEGEMEA NA FORMULA YAKO
Mkuu wewe ndo umechanganya madesa! Mbona ukipiga hesabu inaleta 35.6% na siyo 60% kama unavyodai? Pamoja na hay bado riba ziko juu sana kwa nchi yetu. Sijui kwa nini hizi MFIs za private zinajiendea tu bila udhibiti! Hapa serikali ya ccm ndo ya kulaumiwa imeshindwa kusimamia Sera zake. Angalau NMB na CRDB wanajitahidi maana wako kati ya 13-19%. Kitakachotuokoa ni kuwatoa ccm madarakani ili tujaribu na wengine!!
TATIZO HAPA NI SHULE YA KI-FINANCE, NI KWELI 60% kwa mwaka, pia ni kweli 5 % kwa mwezi, PIA NI KWELI 35.6% YOTE NI MAJIBU SAHIHI TEGEMEA NA FORMULA YAKO
mkuu ni 5%kwa mwezi ina maana kwa mwaka ni 60% majanga!