Riba ya Mkopo

Riba ya Mkopo

saryia toly

Member
Joined
May 29, 2014
Posts
6
Reaction score
0
Wasomi naomba kuelimishwa.

Kisheria, hasa sheria ya fedha imekaaje? Je, kuna kiwango elekezi cha riba ambacho mkopeshaji anatakiwa asivuke? Na je, Kila mtu anaweza akaanzisha utaratibu wa kukopesha mtaani na kuwa na riba aliyoamua na mbele ya sheria akawa Yuko sahihi?
 
Back
Top Bottom