Black Legend
Senior Member
- Jul 28, 2015
- 174
- 301
Kwa kipindi cha miakaa miwili hii, mabenki ya nchini Tanzania kama CRDB, NMB, DTB, NBC, AZANIA BANK nk yamepandisha riba za mikopo kwa kiwango kikubwa.
Hii imekuwa ni maumivu makiuubwa saana kwa watumishio wa serikali na wa sekta binafsi na hata wafanyabiashara wanapoenda kwenye benki husika kuomba mikopo.
Hii imesababisha uwezo wa wanachi kukopa kuwa mdogo hivyho kuchangia kipato cha mtu mmoja mmoja nchini kushuka na hata ile nguvu ya kununua bidhaa (purchasing power) kuwa chini.
Obviously, we cant have the country which the normal citizens always compromised with bad economical situations of these financial institutions. Yet, in 3 years , most of the banks.
Hii imekuwa ni maumivu makiuubwa saana kwa watumishio wa serikali na wa sekta binafsi na hata wafanyabiashara wanapoenda kwenye benki husika kuomba mikopo.
Hii imesababisha uwezo wa wanachi kukopa kuwa mdogo hivyho kuchangia kipato cha mtu mmoja mmoja nchini kushuka na hata ile nguvu ya kununua bidhaa (purchasing power) kuwa chini.
Obviously, we cant have the country which the normal citizens always compromised with bad economical situations of these financial institutions. Yet, in 3 years , most of the banks.