Danielmwasi
JF-Expert Member
- May 3, 2021
- 2,134
- 3,834
Hoja yako ni hipi?Taarfa gani ya Ricado Momo ishakua ya kweli?
Au ndio we Chawa wake umekuja hapa kumzungumzia tu na yeye atajwe hapa.
We mtu analeta hadi taarfa za kina Ety Nabi amegombana na Kaze naye anaibeba nilicheka sana.
Huna D mbili?Hoja yako ni hipi?
Same to meI am too old to understand the English language...why don't you present your feelings in Kiswahili?
rubbishHuna D mbili?
classmate anazingua 😁Same to me
Hii Simba hata chaSambi alikuwa mbovu. Ricardo ndo mda wake huuumelipwa umpigie promo.alinichosha kipindi icho alimsifia sana habib kyombo mpaka Simba nao wakaingia mkenge.
Karibu zote,Taarfa gani ya Ricado Momo ishakua ya kweli?
Au ndio we Chawa wake umekuja hapa kumzungumzia tu na yeye atajwe hapa.
We mtu analeta hadi taarfa za kina Ety Nabi amegombana na Kaze naye anaibeba nilicheka sana.
Kazi ya D tatu hiiHapo umeandika Kwa lugha ya chingeleza na sio kiingereza
Mnaojua Kiingereza vyema akina Leejay49, adriz na Bujibuji Simba Nyamaume tutafsirieni basi Sisi tusiojua tuelewe Ok?I know I might be the one who stimulate Ricardo Momo to improve his presence in the show. But not him to resign.
I believe wasafi can reach a deal with him. We depend on him to give us more accurate informationsℹ️ that media doesn’t have.
The moment he resign especially at signing season It’s ain’t good for our football especially to us fans.
Wasafi I know its revenue issues and loss of advertisement money due to his absence in most of the sessions.
But we need him .
Mzee wa zandaniiiIla daslam kuna majina mengi hata sielewi alooo....
Huyo ni nani huko daslam kwani..🤔
Ngoja tumsubiri adriz aje, me naona mapichapicha tu hapaMnaojua Kiingereza vyema akina Leejay49, adriz na Bujibuji Simba Nyamaume tutafsirieni basi Sisi tusiojua tuelewe Ok?