Mario Kempes
Member
- Jun 29, 2021
- 63
- 122
Mkuu unapendekeza sanamu lako tuliweke wapi?Ricardo Momo Hana tofauti na masanja mkandamizaji
Bahati mbaya taifa linawaamin wachekeshaji kuliko wataalam
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Alikua ana chekesha wewe unachukulia seriousMchekeshaji wa kipindi cha michezo cha Sports Arena kupitia Wasafi Fm Ricardo Momo anasema kutokana na elimu ya nyota aliyonayo ameona jinsi ambavyo Simba kesho anaenda kuibuka na ushindi dhidi ya Yanga!
Muda wa mechi pia unaibeba Simba kuliko Yanga katika masuala ya nyota! Aliongeza Ricardo Momo a.k.a Mzee wa za ndaaani kabisa
Una maoni gani?
Liwekwe hapa ABASIA YA PERAMIHO njia panda ya kwenda NAMIHOROMkuu unapendekeza sanamu lako tuliweke wapi?
Mlivyokuwa mataahira umeambiwa mtu alikuwa anachekesha wewe umevimba hadi mavi yanagonga chupi na kurudi ndani.Fala huyo.. Kwan mechi zote anazofungwa Mikia Zinakuwa saa ngapi..?
Kwa kikos changu hiki Simba hawez kutoboa kwa kweliView attachment 2039517
Umeandika ugoroohoo ohoo ooooo, huyo tapeli anawadanganya huyo, ipo hivi msimu ulio pita Mauya aliwapiga dakika ya 11 ya mchezo, kwenye ngao ya jamii Mayele na yeye akawatandika dakika ya 11, sasa game ya kesho ni tarehe 11, saa11 jioni …...apo kinyota ipo hivi kesho makolo wata uwawa si chini ya bao 2, yaani pona pona yenu kesho msikanyage uwanjani