Kwani hizo pesa zilikuwa zake?Habari ndg zangu wana Jf.. Katika hali ya kushangaza,ili kauli ya kusema kuwa *utakufa na kuacha pesa zako zote*, leo imevunjwa na matajiri wa kiganda baada ya kuamua kutupia zaidi ya shiling milion 30 za kibongo kwenye kaburi la Raisi wa mataji*RichGang*ivan don kabla ya mwili wake kuzikwa..
Hi ni hali ambayo wengi hawakutarajiwa,
..... Ivan kafa kazikwa na pesa zake.......
KUTOKA KWENYE MAZISHI UGANDA...... pesa zaidi ya 30 mil zamwagwa ndani ya kaburi la Ivan Don... Kabla ya genezaView attachment 516716View attachment 516717View attachment 516718 kuwekwa....!! Ni balaaaaa.....
View attachment 516719
Rich gang members wakimwaga pesa kaburini kama ishara ya kumuaga boss wao
View attachment 516721
View attachment 517062
Acha ujuwa ati unawajua waganda....mbona hadi sasa hakun kilichotokea....?wabongo bana ndo maan hatuendelei kujifanya kujua ndo kazi yetu hata kama hatujuiNinavyowajua wa-Ganda labda jeshi la polisi lihamie hapo
kaburi linalindwa na askari wenye bunduki kabisaAcha ujuwa ati unawajua waganda....mbona hadi sasa hakun kilichotokea....?wabongo bana ndo maan hatuendelei kujifanya kujua ndo kazi yetu hata kama hatujui
Alooo, kweli kabisa....!!![emoji23] [emoji23] [emoji23]
maskini hawaishagi hata kama hiyo pesa bill gate na Ivan wakigawiwaKILA SIKU NASEMA HAMSIKII WATU WEUSI WAJINGA " TUNAMATATIZO MANGAPI YAKATUSUMBUA... UGANDA MASIKINI MPAKA BASI... AFRICA ZIMA HOI.....NDIO MAANA WAZUNGU WATATUITA " MONKEYS" HATUNAUWEZO WAKUONA MBALI. MBONA WAO HAWAFANYI HAYA NA WANA MIELA MUNGU MPAKA BASI...BILL GATE KILA SIKU ANASAIDIA WATU DUNIANI HASA HUKU AFRICA...NA SHULE PIA INASAIDIA