Inawezekana ni baada ya kusoma majigambo ya diamond platnumz kuhusu tuzo za KTMA
Huyu na mwanamke wake washajua baadhi ya watz hujo insta akili zao fupi kama nywele zao.... hivyo wanazitumia kupata umaaryfu mav.i
Wema amepost picha hizo kwenye insta kumwombea apigiwe kura...wamezitoa huko.
Wema amepost picha hizo kwenye insta kumwombea apigiwe kura...wamezitoa huko.
Ndio mkuu, lakini motive ya kutaka kumsapoti inawezekana kabisa ni related na anayofanya diamond, kumpiga mimba x - wife, na kujigamba bia hawezi kushushwa
Diamond uwa anaheshimu sana fans wake.
Hiyo ya hawezi kushushwa ni ujumbe kwa wa husika waliomfanya aandike msg ile ndio amewaambia hayo.
Na kuna la nyuma ya pazia hatulijui sie wadau kilicho msukuma kuandika yale yote as sio kawaida yake, ana vumiliaga mengi sana kwa hili kuna jambo zito sanaaa.
Hao rich gang wanatafuta kiki walipoa karibu kusahaulika pia...wamerudi wanatetemesha wa TZ tena. Watajiju na wanaotaka kuhusika nao.
Diamond uwa anaheshimu sana fans wake.
Hiyo ya hawezi kushushwa ni ujumbe kwa wa husika waliomfanya aandike msg ile ndio amewaambia hayo.
Na kuna la nyuma ya pazia hatulijui sie wadau kilicho msukuma kuandika yale yote as sio kawaida yake, ana vumiliaga mengi sana kwa hili kuna jambo zito sanaaa.
Hao rich gang wanatafuta kiki walipoa karibu kusahaulika pia...wamerudi wanatetemesha wa TZ tena. Watajiju na wanaotaka kuhusika nao.
Ivandon x - husband wa zari amejitolea kumfadhili Ali Kiba, kwa kuwa anaamini ni bora zaidi ya Diamond Platnumz.
Kiba utafanyaje brother?nyanyua simu uwapigie..ushauri wangu