Rich gang: Mume wa Zari yuko tayari kumfadhili Ali Kiba

Inaonyesha ni jinsi gani mahusiano ya diamond na zari yanamuumiza ivan hiviii huko south hakuna demu mkali wa kumpagwisha ivan ina maana chagabibi bado hajafikia kiwango
 
Haya wale washindani hadi huko UG wamejua kuwa Diamond yupo juu ndo maana katokea mtu anataka kumsaidia aliye chini. Ama kweli Diamond anawachawi wengi huku Wema na team yake kule ex wa Zari pembeni yupo huyu sijui nani inasemekana aliibiwa milion 738 kushoto kuna wale aliiowaambia hatafanya shooting Bongo kulia kuna wale aliokataa kufanya nao kolabo mbele kabisa kuna hawa ambao hawatoki kwa sababu yake na wanapoumia zaidi ni pale mawe yote wanayorushwa kwake na kinyume chake anazidi kupaa
 
Ivan na Wema wanacheza ngoma za kipuuzi na za kijinga. Wema anafanya kampeni ya kumpigia debe Alikiba kwa kudhani kwamba atakuwa anamkomoa Diamond, naye Ivan anafanya hivyo kwa kudhani kuwa atakuwa anamkomoa Zari. Wote wawili hawa wanasahau kuwa kwa sasa Vision ya Diamond si kushindana na wasanii wa ndani, bali kushindana na wasanii wa nje. Na Alikiba akiingia katika mtego huu wa akina Wema na Ivan atakuja kupoteza mwelekeo na asijue pa kuanzia. Hawa watu wanafanya haya si kwa sababu wanampenda sana Alikiba, bali ni kwa sababu ya kupunguza stress zao za kuachika. Ivan bado anampenda Zari ndio haishi kuyafatilia maisha ya Zari kila siku, kwa upande wa Wema naye ni hivyo hivyo. Nimshauri tu Alikiba kwamba kufuata ushauri wa hawa watu atapotea, ni vema akasimama kwenye vision yake.
 
Ally Kiba Changamkia Fursa hiyo Rich Gang Wapo Safi sana.



 
Yaan bila Mond kiba hawez sikika directly or indirectly... Na wema kanishangaza sana maana anachofanya anafanya kusudi akihisi kuna mtu anamkomesha ila ndo kwannzaaaa anajipunguzia heshima
 
That is a one local attention seeking nigga, i don't why y'all giving him this much of your time. Kiba should not even bother.

And Zari, she is nothing but pro golddigger, she is simply using Diamond as a platform to milk whatever she can. Once she is done with him, she'll move to the next hot nigga.
 


Wapi uneona Zari amemtumia kumnyonya pesa D? Shusha list niisome
 
wale wenyewe wana pesa lakin hawana umaarufu alienza kuwafanya tuwajua ni diamond baada ya kumchukua demu wao afu walivyo wapumbavu wanataka wamtumie Kingkiba kujipaisha mi naona ni upuuzi tu huo diamond hawajamuweza kwa sabu hana habari nao!!!
 
Naona watu mnadiss tu kiba bila sababu za msingi. Kama mmeona personal issues kwa hao wanaomsupport ni wao kama wao wala Kiba hazimhusu. Hakuwalazimisha ni wao wameamua au mlitaka awakataze?? Alafu ili iweje sasa?

Wema angemsupport mondi mngesema anajipendekeza, kamsupport Kiba bado mnasema stress, hata angemsupport Jux au Barnaba nina uhakika na penyewe mngepata tu la kuongea!!

Haya uwanja ni wenu, nasubiri na Vera Sidika nae mumtolee sababu zake za kuamua kumpigia kura Kiba.
 
Yaan bila Mond kiba hawez sikika directly or indirectly... Na wema kanishangaza sana maana anachofanya anafanya kusudi akihisi kuna mtu anamkomesha ila ndo kwannzaaaa anajipunguzia heshima

Embu acha uongo ali kiba alikuwepo kabla hata huyo domo hajatoka, na alikuwa ni mmoja kati ya role models waliomshep platnumz, sa unasemaje bila diamond hasikiki?cinderela ikitoka domo alikuwa wapi?
 

Mkuu mi mwenyewe nawashangaa, kwani ali kiba hana haki ya kuwa supported na wema?
 
Nyota y domo hata wazibe n kaniki nyeusi itangaraa tuu........huyo wema n kiba akili zao sawa tu instead wafanye maisha yao wanashindana n domo.kiki w wezi kuvamia banda lake imekosa washabiki

Yaani of all things Ally Kiba ndo aje atafute kick ya kuvamiwa kweli na time yote hiyo alokuwepo kwenye game? Really???

Anyways naomba nisikukatalie sana maana wewe ndo unaeziona akili za kiba na za wema zipo sawa japo mi naona tofauti kwa maana mambo ya Wema Kiba hayamhusu na mtu kuamua kumpigia kura ni choice yake kwani hata kama Wema au Ivan wasingempigia promo bado Kina Avemaria tungepiga tu sasa sijui na sie mngetusemea kipi.

Thats why mie nilimuongelea Ivan kama Ivan wala nisitake kumuinclude Kiba.
 

Dia I like ua argument aisee hongera yani unaongea facts tupu. Ndo inavotakiwa ukweli na uwazi bila unafiki unachambua hoja kwa jicho la Tatu sema like ni Mara moja ningekupa hata billion moja za like. Keep it up le madame .
 
Mkuu mi mwenyewe nawashangaa, kwani ali kiba hana haki ya kuwa supported na wema?

Mtu wao ndo ana haki kufanya kila kitu na kufanikiwa wengine wakifanya ni kosa wanaiga wanamuonea wivu. Too much negativity na ukosefu wa uelewa ni tatizo la wengi wenye kujiona na hati miliki wengine hawana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…