kilimbamula
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 1,792
- 853
Kama hata kwa Mavoko, muda bado sasa kwa akina Lavalava sijui tuseme nini!Tuliza MSHONO mda bado...Mziki hauhitaji kukurupuka.
Tafsiri ya Kutoboa kwenye mishe kila mtu ana yake....so don judge!Tunavyojadiscuss wengine utadhani sisi tumetoboa kwenye mishe zetu.
Hivi mtu mvivu sana angeanzishiwa uzi humu? Muda mwingine muachage kuongea pumba...Nimu binafsi sana na mvivu sanaaa ... nb: roho mbaya haina baraka .
Mbona mnamjudge mavoko sasa?Tafsiri ya Kutoboa kwenye mishe kila mtu ana yake....so don judge!
Kweli mkuu, sisi watanzania tunapenda sana kutupia wengine lawama...Tunavyojadiscuss wengine utadhani sisi tumetoboa kwenye mishe zetu.
Tafsiri ya Kutoboa kwenye mishe kila mtu ana yake....so don judge!