Rich Mavoko asajiliwa Tigo fiesta, kuperform Moshi

Mkuu huenda jamaa yuko sahihi baby boy mbona kama wasiwasi kdg
Hizi ni I'd fake tuu.. zinaficha mambo mengi!.. anyway santorini ni nini??..
na ubaby Boy wangu unahusiana nini na Mada????.. acheni shobodundo..
 
Hizi performance za majukwaa zinawajenga sana wasanii. Msanii sio studio peke yake.
Kucheza mbele ya mashabik ni muhimu saaana. Safi Mavoko
 
Mavoco anategwa bila kujua,bado anamkataba na WCB akipanda jukwaani,ajiandae na kupanda kizimbani.
 
Ni wakuda sana mzazi shobo nyingi

Badilisha tu ibaki Pancho boy uachane nao kiroho safi au kama huwez badilisha bas yeyote atakayekuja na shobo nyingi usimjibu chochote
Nabadilisha mwana...manake imekuwa soo
 
Mavoco anategwa bila kujua,bado anamkataba na WCB akipanda jukwaani,ajiandae na kupanda kizimbani.
Mmh!.. bado ana mkataba??.. lakini zile si ni show tuu anafanya kama wanavyofanya wakina kondeboy huko nje??
 
Santorini ni kisiwa cha kula bata kipo greece,na ndo mimi nipo hapa saa hizi napigwa na upepo mwanana wa meditranian sea
mkuu atajulia wap huyo yuko nanjilinji huko mambo ya Santorini WAP na wap ila sio mbaya pia mi mwenyew nina mijengo yangu Mingi tu kwenye hicho kisiwa japo nakaa mkoani huku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…