Nasikia yupo mirerani huko kachoka anapiga mizinga hatariii...
Sanaa aliacha? Sasa dah. Itakuwa mbaya kama hayuko vizuri maana zile hela nyingi kweli mjini mtaji wa miaka kadhaa
Hayuko mererani nlikua namuona mwaka juzi mitaa y ilboru alikua anaishi n muzungu wake bt alikua fine 2 kimaisha hiyo ya mizinga cjawahi sikia
Daaah, mihela yote ile amet...ombea,mhhh kazi anayo....
Nasikia yupo mirerani huko kachoka anapiga mizinga hatariii...
Halafu nilitaka kukutafuta kuhusu hii habari....
Alikua n maisha mazuri tu cz alikua n prado na gari ingine mtu aliepigika anaonekana 2,kuchimba tanzanite c lelemama mtoto mayai hawezi
Mtoto mayai ya kisasa au kienyeji?
Alikua n maisha mazuri tu cz alikua n prado na gari ingine mtu aliepigika anaonekana 2,kuchimba tanzanite c lelemama mtoto mayai hawezi
Alikua na chimbo lake au alikua mchimbaji?
Watu wambea jamani khaa! Nilisikia kachoka kumbe jamaa yuko fresh tu.
Hayo maneno ya wa2 sijawahi muona mererani nlikua namuona mitaa flani twn y ilboru mana alikua jirani na mdogo wangu.,mgodi c makende hata hizo hela za idris zote zitaisha ndani y miez 6 usijue zimepitia wapi mgodi ambao unafanya kazi kwa mwezi unakula 50m mpka 100m kutokana na ukubwa wa mgodi na vifaa plus umeme mtu anakipa bill umeme mpka 20m permnth