King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Umofia Kwenu wana JF,
Habari zilizonifikia hapa minjingu ni kwamba msanii wa sinema za kibongo aliyetamba na movie ya swahiba,Rich mtambalike alias Rich Richie ameshusha mjengo wa ghorofa moja maeneo ya mbweni full walinzi masaa 24 pamoja na kununua Rav4 new model,aisee kumbe bongo movie inalipa kihasi hiki? Au mambo ya bwimbwi.com?
Kabda TMT imempa mshiko wa maana
Aiseeh!! Nimefurahi kusikia hii habari, ila jamaa nasikia yupo poa toka zamani ila sidhan hayo mafanikio yanatokana na filamu, maana hana kazi nyingi sana na kazi zake uwa hazifanyi sana vizur sokoni kama movies za JB,Odama,nisha, RJ company na wasanii wengine, so nadhan atakuwa na mishe nyingine anafanya
Aiseeh!! Nimefurahi kusikia hii habari, ila jamaa nasikia yupo poa toka zamani ila sidhan hayo mafanikio yanatokana na filamu, maana hana kazi nyingi sana na kazi zake uwa hazifanyi sana vizur sokoni kama movies za JB,Odama,nisha, RJ company na wasanii wengine, so nadhan atakuwa na mishe nyingine anafanya
Ubuyu huo ngoja nimwambie jamaa kama ataweza anitumie whatsapp ya mjengo wake.
Namkubali sana singo mtambalike
Aka mchepuko wa zamani wa rose ndauka
Mmmhhh ila anaonekana ana dharau huyu sijui hisia zangu tu
Sana, ana dharau na majivuno mno, ndio maana hapatani na wasanii wengine, richie anajisikia sana yule , japokuwa mda mwingine ana huruma, ila full madharau na anapenda sana mademu, yan hachagui japokuwa ana mke n watoto
Anaonekana tu na ule mdomo wake akiongea, ,ila hua anaigiza kiuhalisia kabisa anajitahid,,,halaf sio wa mascandal
Hivi Ray nimeamini alikua anatembelea nyota ya Kanumba yaan hasikikii hauziiiiii
Ray hajui kuigiza ila ni director mzur, ata kampuni yake ina ubora flani ivi tofaut na makampuni mengine, ila hapendwi na wengi, Ray anajisikia na yeye, hatakagi kabisa kuigiza movie za wasanii wenzie, ye na kampuni yake tu bhas, bora ata johar anaigizaga nje ya kampuni ila babu yule kwa kujifanya ye ndo bwana mkubwa wakat darasa la pili kama warumi tu