Pre GE2025 ๐—ฅ๐—ถ๐—ฐ๐—ต๐—ฎ๐—ฟ๐—ฑ ๐—ž๐—ฎ๐˜€๐—ฒ๐˜€๐—ฒ๐—น๐—ฎ: Ukikosa Ubunge au Udiwani jilaumu mwenyewe, Rais Samia amefanya kila kitu

Pre GE2025 ๐—ฅ๐—ถ๐—ฐ๐—ต๐—ฎ๐—ฟ๐—ฑ ๐—ž๐—ฎ๐˜€๐—ฒ๐˜€๐—ฒ๐—น๐—ฎ: Ukikosa Ubunge au Udiwani jilaumu mwenyewe, Rais Samia amefanya kila kitu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610
1735581401671.png

๐— ๐—ท๐˜‚๐—บ๐—ฏ๐—ฒ ๐˜„๐—ฎ ๐—›๐—ฎ๐—น๐—บ๐—ฎ๐˜€๐—ต๐—ฎ๐˜‚๐—ฟ๐—ถ ๐—ž๐˜‚๐˜‚ ๐˜†๐—ฎ ๐—–๐—ต๐—ฎ๐—บ๐—ฎ ๐—–๐—ต๐—ฎ ๐— ๐—ฎ๐—ฝ๐—ถ๐—ป๐—ฑ๐˜‚๐˜‡๐—ถ (๐—–๐—–๐— ) ๐—ง๐—ฎ๐—ถ๐—ณ๐—ฎ (๐— ๐—ก๐—˜๐—–), ๐—ฅ๐—ถ๐—ฐ๐—ต๐—ฎ๐—ฟ๐—ฑ ๐—ž๐—ฎ๐˜€๐—ฒ๐˜€๐—ฒ๐—น๐—ฎ, ๐—ฎ๐—บ๐—ฒ๐˜€๐—ฒ๐—บ๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐˜„๐—ฎ ๐— ๐—ฏ๐˜‚๐—ป๐—ด๐—ฒ ๐—ฎ๐˜‚ ๐——๐—ถ๐˜„๐—ฎ๐—ป๐—ถ ๐—ฎ๐˜๐—ฎ๐—ธ๐—ฎ๐˜†๐—ฒ๐˜€๐—ต๐—ถ๐—ป๐—ฑ๐˜„๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐˜๐—ฒ๐˜๐—ฒ๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ๐—ณ๐—ฎ๐˜€๐—ถ ๐˜†๐—ฎ๐—ธ๐—ฒ ๐—ฎ๐—ท๐—ถ๐—น๐—ฎ๐˜‚๐—บ๐˜‚ ๐—บ๐˜„๐—ฒ๐—ป๐˜†๐—ฒ๐˜„๐—ฒ, ๐—ธ๐˜„๐—ฎ๐—ป๐—ถ ๐—ฅ๐—ฎ๐—ถ๐˜€ ๐—ฎ๐—บ๐—ฒ๐—ณ๐—ฎ๐—ป๐˜†๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—บ๐—ฏ๐—ผ ๐—บ๐—ฎ๐—ธ๐˜‚๐—ฏ๐˜„๐—ฎ

Kasesela alisisitiza kuwa kazi kubwa iliyofanywa na Rais Samia zinawapa urahisi viongozi waliopo kuendelea na nafasi zao, na iwapo watashindwa, ni wao wenyewe watakaojilaumu.

Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Ccm Daudi Yassin alipiga marufuku wanachama wanaoanza kufanya kampeni mapema, huku wale watakaokiuka na kuanza mapema watachukuliwa hatua kali kwa mujibu wa kanuni za chama hicho.

Ameongeza kuwa, hadi sasa wabunge na madiwani wapo kazini, hivyo kufanya kampeni mapema ni kinyume na taratibu za chama huku akihimiza viongozi wa CCM kutanguliza masilahi ya chama mbele na siyo masilahi binafsi, kwani kupata uongozi ni mpango wa Mungu, na kama hajapanga upate, hutopata.
 
Back
Top Bottom