Ni mtanzania mwenye asili ya Uingereza ni mwalim kitaaluma , miaka ya 1970 alikuja Tanzania kama walimu wa kujitolea akapapenda na mwaka 1971 akarudi Tanzania baada ya mafunzo ya kujitolea akafikia tabora ,akabaishi na wenyeji wakampenda wanyamwezi wakawa wanamwita MABARA , maana yake mtu aliyetoka bara lingine ,hivyo jina lake la mwisho akaondoa akaweka Mabara , hivyo akaanza kusomeka Richard Mabala , na ameshachukua uraia wa Tanzania ,hivyo ni mtanzania na miaka hiyo hiyo ya 1970s alitoa hicho kitabu maarufu kwa sekondari , kiitwacho MABALA THE FARMER na baadae HAWA THE BUS DRIVER ,zote ni fiction lakini zenye kuleta ujumbe mzito kwa jamii na Hawa the bus driver baadae ikawa kweli jijin dar es salaam na kusambaa mikoa mingine ,pia ametunga kitabu cha mashairi kiitwacho THE SUMMONS OF EAST AFRICAHivi huyu anatokea kijiji GANI??
Ahaaa haaa haaa
Mabala for president... Agombee tu urais at least na sisi tuwe na rais Mzungu tuone.Ni mtanzania mwenye asili ya Uingereza ni mwalim kitaaluma , miaka ya 1970 alikuja Tanzania kama walimu wa kujitolea akapapenda na mwaka 1971 akarudi Tanzania baada ya mafunzo ya kujitolea akafikia tabora ,akabaishi na wenyeji wakampenda wanyamwezi wakawa wanamwita MABARA , maana yake mtu aliyetoka bara lingine ,hivyo jina lake la mwisho akaondoa akaweka Mabara , hivyo akaanza kusomeka Richard Mabala , na ameshachukua uraia wa Tanzania ,hivyo ni mtanzania na miaka hiyo hiyo ya 1970s alitoa hicho kitabu maarufu kwa sekondari , kiitwacho MABALA THE FARMER na baadae HAWA THE BUS DRIVER ,zote ni fiction lakini zenye kuleta ujumbe mzito kwa jamii na Hawa the bus driver baadae ikawa kweli jijin dar es salaam na kusambaa mikoa mingine ,pia ametunga kitabu cha mashairi kiitwacho THE SUMMONS OF EAST AFRICA
Kwa ,uchache ni hayo
Hawezi kua Raisi, sharti kubwa la uraisi Baba na Mama yako wawe wazaliwa wa Tz na wewe uwe mzaliwa wa Tz.Mabala for president... Agombee tu urais at least na sisi tuwe na rais Mzungu tuone.
Hawezi kua ni Sleeper Agent?Ni mtanzania mwenye asili ya Uingereza ni mwalim kitaaluma , miaka ya 1970 alikuja Tanzania kama walimu wa kujitolea akapapenda na mwaka 1971 akarudi Tanzania baada ya mafunzo ya kujitolea akafikia tabora ,akabaishi na wenyeji wakampenda wanyamwezi wakawa wanamwita MABARA , maana yake mtu aliyetoka bara lingine ,hivyo jina lake la mwisho akaondoa akaweka Mabara , hivyo akaanza kusomeka Richard Mabala , na ameshachukua uraia wa Tanzania ,hivyo ni mtanzania na miaka hiyo hiyo ya 1970s alitoa hicho kitabu maarufu kwa sekondari , kiitwacho MABALA THE FARMER na baadae HAWA THE BUS DRIVER ,zote ni fiction lakini zenye kuleta ujumbe mzito kwa jamii na Hawa the bus driver baadae ikawa kweli jijin dar es salaam na kusambaa mikoa mingine ,pia ametunga kitabu cha mashairi kiitwacho THE SUMMONS OF EAST AFRICA
Kwa ,uchache ni hayo
Ha ha ha ,Hawezi kua ni Sleeper Agent?
Narekebisha kidogo, hajatunga kitabu cha Summons bali amekihariri tu. Ndani yake kuna mashairi ya watu wengine pia kama vile Kajubi, Isaac Mruma, F.P Lwamba, Sengondo Mvungi na wengineo.Ni mtanzania mwenye asili ya Uingereza ni mwalim kitaaluma , miaka ya 1970 alikuja Tanzania kama walimu wa kujitolea akapapenda na mwaka 1971 akarudi Tanzania baada ya mafunzo ya kujitolea akafikia tabora ,akabaishi na wenyeji wakampenda wanyamwezi wakawa wanamwita MABARA , maana yake mtu aliyetoka bara lingine ,hivyo jina lake la mwisho akaondoa akaweka Mabara , hivyo akaanza kusomeka Richard Mabala , na ameshachukua uraia wa Tanzania ,hivyo ni mtanzania na miaka hiyo hiyo ya 1970s alitoa hicho kitabu maarufu kwa sekondari , kiitwacho MABALA THE FARMER na baadae HAWA THE BUS DRIVER ,zote ni fiction lakini zenye kuleta ujumbe mzito kwa jamii na Hawa the bus driver baadae ikawa kweli jijin dar es salaam na kusambaa mikoa mingine ,pia ametunga kitabu cha mashairi kiitwacho THE SUMMONS OF EAST AFRICA
Kwa ,uchache ni hayo